Hizi zinaweza kua si habari njema kwa wananchi, na ukizingatia mwishoni mwa msimu mwamba anamaliza mkataba wake.
Huko bondeni kwa MADIBA mashabiki wa timu zote kubwa wameoneshwa kukoshwa na uwezo wa master key huku wakimwagia sifa kibao na bahadhi yao wakita kumuona msimu ujao anavaa Uzi wa...
Samahani jamani sikuanza na salamu sababu kichwa kina mambo mengi, navyosema kichwa namaanisha hiki kilichobeba ubongo, so sitaki ufikirie tofauti.
Nirudi kwenye hoja yangu, leo nimewaza tu kama mzazi, huku nikitambua wajibu wa mzazi kwa watoto wetu, kwani wazazi tunachangia kwa kiasi kikubwa...
Jamani kama mnavyojua nchi hii bei za vitu avitabiriki, kujiwekea akiba ni jambo la msingi sana, leo sukari inasumbua lakini kwa waliokua na akiba ya kutosha mambo ni shwari.
Haya hii hapa fursa maharage safi kabisa na bei ni kitonga unateleza tu, tunauza kuanzia kilo moja na kuendelea
Kilo...
Ndugu zangu wadanganyika,
Matatizo au changamoto ambazo kiini chake ni mfumo mzima mbovu wa nchi hii, auwezi kutatuliwa kwenye mikutano na wananchi, kwa kuinua mwananchi mmoja na kumsikiliza kisha unampigia simu sijui waziri au mkurugezi kutatua shida ya huyo mwananchi.
Ukweli ni kwamba...
Ukweli ni kwamba mechi inayokuja Kwa mkapa Simba akijitaidi sana kapata sare, simba hawezi mfunga wydad japo kweli ni wabovu, simba hakuna mfungaji, katika mechi tatu wana goli moja tena la penati.
Always washabiki hutoa maoni bahada ya kuona matokeo huyu kocha alikua Bora kabisa kabla ya hii hatua ya makundi sasa. Matokeo ya hizi mechi mnahanza kunugunika, kua na uvumilivu mwalimu alaumiwe akishindwa kuvuka hatua ya makundi, kundi bado liko wazi Kwa yeyote kusonga mbele
Always makolo ni wajinga wanashangaa yanga kupata point moja mechi mbili na wanasahau wao msimu uliopita mechi mbili hawakua na point hata moja, mechi ya kwanza walichapwa moja mtungi na Horoya then wakaja wakabakwa mara tatu na mwarabu Raja Casablanca ya Morocco na leo wamesau au ndio kuijizima...
Hapa kuna baadhi ya mambo ambayo huenda usiyoyajua kuhusu 2Pac:
Jina lake kamili: Jina kamili la 2Pac ni Tupac Amaru Shakur. Alipewa jina hilo kutokana na jina la kiongozi wa uhuru wa Amerika Kusini, Tupac Amaru II.
Ujumbe wa kisiasa: 2Pac alikuwa msanii mwenye sauti yenye nguvu katika muziki...
Mwaba huya hapa, mshikaji kama amegoma kufa. Bado anatrend kinoma katika social network ukilinganisha na wasanii kibao ambao wangali hai.
Picha za Pac zimekua ni brandi kubwa katika bidhaa kibao kama kwenye t-shirt, viatu, vitambaa, mabegi, tattoo, na ni role model kwa raia kibao.
2Pac dunia...
Kuna msemo umekua maarufu sana kwa sasa, kwamba mpira ni mchezo wa hadharani watu wanacheza uwanjani na kila mmoja anatazama, kama kuna sehemu ambazo yanga wamefanikiwa sana ni kuwekeza kwenye uchawi wa kisasa kwa kizungu tunweza kusema modern witchcraft, uchawi huu unahusisha vitu kama vinne tu...
niwakumbushe tu hawa marumo pamoja na rivers kabla hawajacheza na yanga walikua hawajapoteza mchezo hata mmoja kwenye aridhi zao ila mwanaume kaja kawatoa bikra tena kwao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.