Recent content by CARIFONIA

  1. CARIFONIA

    JamiiForums Tanzania America ndio wababe wa hizi kazi na wamerudi mzigoni kwa kasi sana

    Wapendwa kwanza niwatakie heri ya X mass na mwaka mpya, then niende kwenye mada yangu Nadhani hakuna asiyejua kua America ndio baba wa ubepari, kuna miaka hapo nyuma walikua wanajificha sana katika mavazi ya demokrasia lakini tangu aingie mwamba Trump amekua sio mnafiki jamaa kaamuua kuingia...
  2. CARIFONIA

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Nchi iko shwari kabisa, Kazi tumeshaimaliza na tuendeleeni kupiga Kazi ili Tanzania yetu ipae zaidi

    W Who are you? Kwani hizi taarabu umeshindwa kumuimbia mke wako
  3. CARIFONIA

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 RC Chalamila: Tutachukua hatua kwa tuhuma za Padri Kitima, kuhusu TANESCO kuhusika kwenye shambulio dhidi yake

    RC kasikia nakuona watu wakitumia vyombo vya habari kuleta taharuki ya kidini kwa kuahaidi kukata vichwa wenzao na RC hakapiga kimya, leo anajitokeza na kuongea nini mbona haeleweki
  4. CARIFONIA

    JamiiForums Tanzania Kuna kipindi natamani kuwatetea lakini?

    Kuna mengi yanaendelea sana katika nchi hii, kuna kipindi natamani nitoke niwatetee CCM lakini kuna sauti inaniiambia kabla ujafanya hivyo kwanza jiulize kuhusu hivi vitu Diwani Haji manara Diwani, Dogo njanja, Mayor Sheta BUngeni, Baba Levo Bungeni, Babu Tale Bungeni Msukuma Na kubwa lao...
  5. CARIFONIA

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia umemaliza upande wako, subiri nao GenZ, EU, US na TEC watakujibu very soon

    In short wewe jamaa ni K na unafichwa ndani ya chupi
  6. CARIFONIA

    JamiiForums Tanzania Nilishauri sera ya uvamizi ianze utekelezaji nikapuuzwa. ona sasa. Tusipovamia tutavamiwa. Hiyo ni kanuni.

    Jamaa alishajua kaandika pumba, nido sababu mwanzoni tu mwa uzi kaanza na mikwara kibao, Kwa ufupi bora kukaa kimya inaweza kua ni msaada kwako
  7. CARIFONIA

    JamiiForums Tanzania Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Kama kuna uchawi watanzania walilogwa basi ni limbwata la simba na yanga, Lakini huwezi hamini kwa hizi nyakati tunazopitia watu hawana time tena na simba wala yanga, maafisa habari wanajua hili wameona traffic ilivyopungus kwenye social media zao habari zao kwa sasa hazina mashiko, Sasa nyie...
  8. CARIFONIA

    JamiiForums Tanzania Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Dada wa taifa kwa sasa ana nguvu na sauti ya umma kuliko bibi Kilembwe yule malkia wa giningi, ambaye nguvu zake zimebaki kwenye vyombo vya dola pekee, Dada kashamalizana na wadanganyika katoa ufafanuzi mzuri na watu wameuelewa sana, tafuteni propaganda nyingine hiyo ya udi imebuma na soon...
  9. CARIFONIA

    JamiiForums Tanzania Kariakoo ni fulsa ya kubadilisha maisha ya maelfu ya watanzania

    Vyote kwa pamoja vinaweza kunufaika na soko hili kama serikali itaiona hii fursa
  10. CARIFONIA

    JamiiForums Tanzania Kariakoo ni fulsa ya kubadilisha maisha ya maelfu ya watanzania

    🌍 Kuibua Upya Kariakoo: Kutoka Soko la Jadi Hadi Kitovu cha Biashara ya Kidigitali Afrika Kwa muda mrefu Kariakoo limekuwa moyo wa biashara nchini Tanzania, likihudumia si Dar es Salaam pekee bali pia mamilioni ya watu kutoka Afrika Mashariki na Kusini. Lakini katika dunia ya sasa ambapo karibu...
  11. CARIFONIA

    JamiiForums Tanzania Ndugu zangu Watanzania hakika Mungu yupo

    Hakika mambo ni mengi lakini Mungu ni mkubwa na ni mwema wakati wote Just imagine alivyowavuluga wanadamu katika lengo la kujenga mnara mrefu pale mjini babeli Basi ndio unaambiwa ndio pigo wanapigwa wale jamaa wqnaojua hii nchi ni yao Mwanzo hawakuamini uwepo wa karma lakini leo wanajionea...
  12. CARIFONIA

    JamiiForums Tanzania Unawapa alama ngapi Mbeya City kwa jezi zao?

    Dah! Hii jezi itavaliwa sana na vikundi vya ngoma
  13. CARIFONIA

    JamiiForums Tanzania Mambo ni mengi lakini mpaka sasa hakuna aliyeweza kuzifungua code

    Mambo yakiwa bado ni mengi katika jamuhuri ya watu wa giningi, gafla kunatokea tukio ambalo linaleta maneno na hisia nyingi kwa wanagingi Wengine wanasema jamaa alikua anajiandaa kuja na bonge la movie 🍿 ambalo lingetikisa tasinia ya movie industry katika jamuhuri ya watu wa Giningi...
  14. CARIFONIA

    JamiiForums Tanzania Sababu kuu ya watanzania kuwa MAMBUMBUMBU sio werevu kama wakenya ,na nini cha kufanya

    Kwanza kabisa wewe ndio mbumbumbu hao wakenya unaowasfia ndio wajinga kabisa Kitu usichokijua wakenya wanapingana sana serikali yao si kwa sababu wanajielewa bali njaa ndio inafanya wakenya waandamane kama wajinga, kenya ndio taifa pekee la East Africa raia wake hawana uhakika wa milo mitatu na...
  15. CARIFONIA

    JamiiForums Tanzania CCM tunaomba kuwekana sawa kwenye hili Jambo

    CCM naomba kuwambia jambo moja makosa na udhaifu wa wanachama wenu mnayajua vizuri, na ni bora mkawawajibisha au kuwafukuza kabisa ili kulinda heshima ya chama chenu mapema, kabla wao hawajaamua kufunguka mabaya yanayoendelea ndani ya chama chenu. Yahani ni mara mia mkaa kimya kuliko kuwajibu...
Back
Top Bottom