Recent content by CARIFONIA

  1. CARIFONIA

    JamiiForums Tanzania Je Dar es salam ni jiji lenye fursa nyingi?

    Dar es Salaam ina vyanzo vya mapato ambavyo bado havijaguswa. Tatizo si ukosefu wa fedha, bali ukosefu wa ubunifu. Kila mwaka tunazungumzia namna ya kuongeza mapato ya halmashauri na kuboresha huduma za wananchi. Mara nyingi mjadala huishia kwenye kuongeza ushuru au kodi. Lakini je, tumeshawahi...
  2. CARIFONIA

    JamiiForums Tanzania Kuna watu wengi tu tunaumia jamani

    "Mfumo haupendi watu smart." Watu wengi wakisikia kauli hii huifikiria vibaya. Lakini sikumaanisha kwamba mfumo unachukia watu wenye akili. Ninachomaanisha ni kwamba, katika mazingira mengi, mfumo huogopa watu wenye maono makubwa, wanaouliza maswali magumu, na wanaotafuta mabadiliko ya kweli...
  3. CARIFONIA

    JamiiForums Tanzania Imefikia hatua Maria Sarungi na Mange Kimambi na wanaharakati wanaweza kusimamisha shughuli za kiuchumi katika majiji Makubwa. Wamebakiza nini?

    Historia inaonesha kuna njia nyingi tu ya kupambana na mfumo, kwanza lazima ujue una deal na watu gani na sio kukurupuka, hawa watawala walishamwaga damu na wanajua wana hatia so wanajua kinga yao ni wao kuwa madarakani na wapo kufanya chochote ili waendelee kubaki madarakani Ukiwa smart...
  4. CARIFONIA

    JamiiForums Tanzania Imefikia hatua Maria Sarungi na Mange Kimambi na wanaharakati wanaweza kusimamisha shughuli za kiuchumi katika majiji Makubwa. Wamebakiza nini?

    Jamaa sikujui ila naweza kukushauri nimepitia comment zako kadhaa na nimengundua kitu, unaonekana unapenda kuwajibu watu hata pasipo kufikiria Kitu usichokijua hao watu unaowaita smart kwanza hawapo na kama wapo basi ni waoga na hawajui hata cha kufanya, na hao unaowadharau ndio waliotengeneza...
  5. CARIFONIA

    JamiiForums Tanzania Serikali bado haijaelewa maana ya maandamano siku hizi. Serikali itatue kero za waandamanaji

    Dunia ya sasa imebadilika sana teknolojia inabadili kila kitu, leo tunaona Genz wa Tanzania wamengundua njia nyingine ya kuichosha Serikali, wanaitasha maandamano kwenye mitandao, matokeo yake serikali inahangaika kutawanya vyombo vya dola na kutumia rasimali pesa nyingi kukambiliana na hofu ya...
  6. CARIFONIA

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri nina mtaji wa 50,000 (Shilingi elfu hamsini)

    Mkuu ulishajaribu kubeti, huku mtaji hadi shilingi mia inaweza kukufanya ukawa milionea, karibu tutafute odds mkuu
  7. CARIFONIA

    JamiiForums Tanzania Guyz, Dont mess up with Min-me!

    Kuna watu wana undugu na jamii forum, na huyu jamaa ni mmoja wapo
  8. CARIFONIA

    JamiiForums Tanzania America ndio wababe wa hizi kazi na wamerudi mzigoni kwa kasi sana

    Wapendwa kwanza niwatakie heri ya X mass na mwaka mpya, then niende kwenye mada yangu Nadhani hakuna asiyejua kua America ndio baba wa ubepari, kuna miaka hapo nyuma walikua wanajificha sana katika mavazi ya demokrasia lakini tangu aingie mwamba Trump amekua sio mnafiki jamaa kaamuua kuingia...
  9. CARIFONIA

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Nchi iko shwari kabisa, Kazi tumeshaimaliza na tuendeleeni kupiga Kazi ili Tanzania yetu ipae zaidi

    W Who are you? Kwani hizi taarabu umeshindwa kumuimbia mke wako
  10. CARIFONIA

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 RC Chalamila: Tutachukua hatua kwa tuhuma za Padri Kitima, kuhusu TANESCO kuhusika kwenye shambulio dhidi yake

    RC kasikia nakuona watu wakitumia vyombo vya habari kuleta taharuki ya kidini kwa kuahaidi kukata vichwa wenzao na RC hakapiga kimya, leo anajitokeza na kuongea nini mbona haeleweki
  11. CARIFONIA

    JamiiForums Tanzania Kuna kipindi natamani kuwatetea lakini?

    Kuna mengi yanaendelea sana katika nchi hii, kuna kipindi natamani nitoke niwatetee CCM lakini kuna sauti inaniiambia kabla ujafanya hivyo kwanza jiulize kuhusu hivi vitu Diwani Haji manara Diwani, Dogo njanja, Mayor Sheta BUngeni, Baba Levo Bungeni, Babu Tale Bungeni Msukuma Na kubwa lao...
  12. CARIFONIA

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia umemaliza upande wako, subiri nao GenZ, EU, US na TEC watakujibu very soon

    In short wewe jamaa ni K na unafichwa ndani ya chupi
  13. CARIFONIA

    JamiiForums Tanzania Nilishauri sera ya uvamizi ianze utekelezaji nikapuuzwa. ona sasa. Tusipovamia tutavamiwa. Hiyo ni kanuni.

    Jamaa alishajua kaandika pumba, nido sababu mwanzoni tu mwa uzi kaanza na mikwara kibao, Kwa ufupi bora kukaa kimya inaweza kua ni msaada kwako
  14. CARIFONIA

    JamiiForums Tanzania Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Kama kuna uchawi watanzania walilogwa basi ni limbwata la simba na yanga, Lakini huwezi hamini kwa hizi nyakati tunazopitia watu hawana time tena na simba wala yanga, maafisa habari wanajua hili wameona traffic ilivyopungus kwenye social media zao habari zao kwa sasa hazina mashiko, Sasa nyie...
  15. CARIFONIA

    JamiiForums Tanzania Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Dada wa taifa kwa sasa ana nguvu na sauti ya umma kuliko bibi Kilembwe yule malkia wa giningi, ambaye nguvu zake zimebaki kwenye vyombo vya dola pekee, Dada kashamalizana na wadanganyika katoa ufafanuzi mzuri na watu wameuelewa sana, tafuteni propaganda nyingine hiyo ya udi imebuma na soon...
Back
Top Bottom