Watoto mnajadili mapenzi kweli mna mda mchafu
Tangu nilipoanza kupenda ela sijawai kutana na shilingi inayo nipa stress wala kunisaliti so https://jamii.app/JFUserGuide mapanzi all i need is more money
Utopolo huyu mkenya atakua anasugua vyoo vya White House ana lolote
Lakini tumewazoea wakenya Obama alipotangazwa kwa mara kwanza kua raisi wa America mlifanya kua national holiday eti mkenya kashika uraisi wa America
Hii mechi sioni simba kama atashinda ata kama ni kwa mkapa sijui kwa magufuli trust me simba anakufa bao tatu bila ubishi
Tukutane hapa baada ya tarehe 3
Dah! Mimi hiyo ni tabia yangu nakula fasta sana, nakumbuka zamani pindi tupo Home bado kuna desturi ile ya kula kijamaa masikani walikua wakizani nakula kidogo sana sababu Daily mimi nilikua wa kwanza kushiba hivyo wakajua mimi nakula kidogo sana kumbe mi nipo faster wakati wao wana tonge mbili...
Ni kweli inawezekana kuna baadhi ya mambo tulikua tunamchukia magufuli lakini misimamo yake kuhusu kenya na baba zenu mabeberu nipende kuwaakikishia tu tutazidi kuienzi na kwanza ndio tutawakazia zaidi maana naona wakenya mmefurai sana