Recent content by Captain G

  1. C

    Kufananisha Dar es Salaam na Arusha

    Arusha ni moja tu Muda wakuinyanganya mbeya hadhi ya green city sasa
  2. C

    Kufananisha Dar es Salaam na Arusha

    Hii post naomba tuiwekee lamination mkuu kwa kila atakae taka battle na Arusha tunamuonyesha
  3. C

    Hii ndio orodha ya majiji mazuri zaidi Tanzania

    Hawawez elewa hapo watu wa ziwani
  4. C

    Mji upi ni zaidi ya mwenzie kati ya Arusha au Mwanza

    mkuu unataka kusema mwanza ina majengo marefu kuliko Arusha na upo serious kabisa🤣🤣
  5. C

    Mji upi ni zaidi ya mwenzie kati ya Arusha au Mwanza

    ona ambavyo hueleweki tukikuletea picha za Arusha unaanza kulialia
  6. C

    Mji upi ni zaidi ya mwenzie kati ya Arusha au Mwanza

    wewe mtoa mada hueleweki kwenye post yako unaandika hutaki picha hapa tena unataka picha mbona hatukuelewi mkuu 🤣 mi najua wewe ni mwanza dam dam lakini hicho kijijj chenu hamwezi kulinganisha na Arusha hujiulizi tangu miaka hiyo mwanza ni ya pili lakini chenga tu😢
  7. C

    Mji upi ni zaidi ya mwenzie kati ya Arusha au Mwanza

    we hujiulizi kwanini mwanza kwa takwimu ni ya pili lakini kiuhalisia kila mtu anaiongelea Arusha?? Arusha is everything after dar mkuu kuanzia conference facilities, hospitality, ofisi za kimataifa, real estate ndio kabisa mwanza imeachwa usawa wa mbingu na ardhi
  8. C

    Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

    iishinde kwa kipi sasa mwanza mnashindwa na Arusha kwa majengo mnashindwa kwa wingi wa magari mnashindwa kwa barabara za kisasa mnashindwa kwa hoteli na ofisi za kimataifa mnataka mzidiweje tena mwanza mnachoishinda Arusha ni umaskini, kuzaliana bila mpangilio na vile vijumba vyenu kama vibiriti...
  9. C

    Naomba kujuzwa wastani wa kodi ya pango Arusha mjini

    waonaje ungemsaidia kabisa kupata iyo frem mkuu🤛
  10. C

    Naomba kujuzwa wastani wa kodi ya pango Arusha mjini

    kaka tumia dalali na madalali wa Arusha si kama wa dar wanaotaka kodi ya mwezi hapo unampooza tu mshkaji imeisha na pia Arusha mara nyingi wanafanya booking kabla hata jengo halijaisha kwa sababu ukisubiri mtu atoke akuachie frem ni ngumu kwa Arusha wenye frem mjini wanapata faida mno huwa...
  11. C

    Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

    hapo kuna ile picha yako ya juu nlikuibia hatari sana alafu tangu nakua naambiwa mwanza ya pili lakin nothing in there
  12. C

    Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

    msamehe tu hajui hata kuandika😢
  13. C

    Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

    sasa hapo kidogo umeongea point kila mji una uzuri wake na ubovu wake ila haizuii ukweli kuwa kwa private sector investments Arusha iko mbali sana hata ilo jengo la hoteli apo ni la serikali hata rockcity mall pia mjengewe na serikali 🤣 ila truth be said mwanza mji flani local sana vile tu...
Back
Top Bottom