Zimebaki siku 30 tu hadi kufikia siku ambayo muendelezo wa filamu ya Black Panther kuanza kuonyeshwa kwa mara ya kwanza. Kama alivyopata kusema Baba wa Taifa hili Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, "Elimu ni kujifunza kutokea kwenye vitabu, kutokea kwenye radio, kutokea kwenye filamu, kutokea...