Recent content by Captain 666

  1. C

    Nimesikitika sana, simu ya shemeji yangu imejaa Apps za mikopo

    Lakini kwanini ulifungua simu ya shemeji yako. Je ungekutana na picha zisizo za staha za dada yako ?
  2. C

    Mapapa watatu (3) wenye asili ya Afrika waliowahi kuongoza Kanisa Katoliki

    Kuna uafrika kwa asili, kwa kuishi na kwa rangi. Yote kwa yote ila kwa rangi yetu ya uafrika yaani nyeusi na nyele vipilipili ndio never
  3. C

    Nashukuru Mungu kunusurika ajali leo

    Pole mkuu..haujanusulika bali umepata ajali
  4. C

    TANZIA Mustafa Mkulo afariki dunia, Alikuwa Waziri wa Fedha kwenye Awamu ya Nne

    Mmmh, mtu ypo kitandani miezi mitatu we useme ivo
  5. C

    Furaha Dominic akamatwa akisambaza picha za Utupu

    Alikua anawafuata makwao kuwarekod ama
  6. C

    Leo nilijipanga kuandika message ya kuipongeza Serikali kwa kumaliza tatizo la kukatika kwa umeme, nashangaa kimya

    Serikali kwa Leo ielewe kua Hawa watu wa Mkoa -pwani Wilaya ya mkuranga Kata ya picha ya ndege Kijiji-kamegele kwa kisholo Karibu na chuo cha ualimu vikindu wanaangalia na mbunge wao kazima simu. Diwani kakimbia
  7. C

    Naishi na Mwanamke Nisiemfahamu, Nahitaji Namna Nzuri ya Kumuacha

    Yeye Bado unampenda au umemchoka. Halafu mpo mkoa gani ili tulipe maelekezo
Back
Top Bottom