Mkuu Nietzsche, kwanza nikushukuru. Binafsi nafikiri hili ni moja ya mabandiko kiboko niliyoyasoma humu mwaka huu. Pili, niungane na mchangiaji hapo juu, na niseme tu kwa kweli kwamba Watanzania kama jamii tunachezewa sana na hawa jamaa. Ifike mahali sasa na sisi TUSHITUKE. Things can't go on...
Hivi umeiona hiyo phrase ya "pre-filled ballot boxes" hapo juu lakini? Kwa wenzetu, hiyo ni allegation mbaya sana.
Eti "nothing more". Akili za matope hizi.
Nietzsche,
Hii ni bonge la point yaani! Mkuu umemaliza kila kitu. Nimesoma nikamaliza halafu nikajikuta narudia tena kwa kunogewa. Hii sasa ndiyo jamii forum tunayoimiss, ile tuliyokuwa nayo enzi zile.
Hili bandiko nimelikubali. Mkuu mleta hoja heshima yako kuu sana mkuu. Maada za watu vichwa kama nyinyi watu wanaojifaraguaga na uchambuzi wao uchwara, hasa wale wana Lumumba, hawazigusi. Wanaziogopa kama ukoma!! :D:)
Jadili hoja zake, acha kumtukana. Kama ni "mlopokaji" mbonai umeshindwa kujibu japo moja kati ya hizo hoja zake lukuki alizoziweka hapo juu?? Acheni UZWAZWA. Na kama mna mrija kwenye huu utawala wa kiuwaji, kaeni kimya! Si bure, wewe utakuwa ni mtu usiyejulikana tu wewe. Nyie subiri tu. Dawa...
Wow! Hii ni elimu ni kali. Jamani kuna watu wana akili. Sidhani kama kuna upinzani katika haya uliyoandika! Ndiyo maana huwaoni kina Pascal Mayala hapa. Hizi ni hoja nzito mno kuhusiana na uzalendo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.