Mi shida yangu ni hao wataalamu unaowaongelea mkuu...
Unajuaje huyo mtaalamu anafafanua kwa mlengo wa upande upi? Nahisi kila alietaalamiwa kwenye hizo taaluma atafafanua kwa maslahi yake binafsi.
Kwa mfano mie nimeshachoshwa kupandikizwa itikadi ambazo kwangu hazina maslahi...
Kila mja na...
Ka kuna mtu humsikia akitajwa Mara nyingi zaidi ya lundo, Nn huyo bingwa hapo.
Ila ndo sijawahi pata mjuzi aliejuzwa barabara taarifa zake Ila nae aniambukizie kiaina.
Kwa yeyote mzalendo anaependa tuwafahamu mashujaa wetu na kwa faida ya madogo janja wengine.
Shoot it....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.