Inashangaza sana hii.. kwa hiyo watz wao hufuatilia nini hasa katika maisha yao? sayansi❌️, geopolitics ❌️, uchumi ❌️, local politics❌️, labda ngono na uchawa. hii siyo nchi ya kuishi kwa mtu yeyote mwenye akili timamu.. baasi tu
Samuya ni 🚮🚮🚮 kabisa.. lakini zaidi ni maccm.. haya ni majizi yaliyopindukia.. yako tayari kuua halaiki na hayana remorse.. revolution haiepukiki this time
Halafu nimegundua kitu kimoja.. madikteta wengi huwa hawana akili kichwani.. wamefeli kidato cha nne.. so how do you reason with a brainless dumb?.. pole pole ana hoja, asikilizwe
Moja kwa moja kwenye mada.. sirikali ya maccm yana akili kama za bundi. Unapozuia mitandao ya kijamii ambayo ni nguzo muhimu katika biashara nyingi za watanzania unakuwa na maana gani? Huu ni uchawi. Mitandao hii hii inatumika na watanzania wengi kujiingizia kipato kwani matangazo mengi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.