Recent content by Capital

  1. Capital

    JamiiForums Tanzania Daktari Bingwa wa Mloganzila, Conrad Agonza, anayedaiwa kumshambulia Trafiki afikishwa Mahakamani, 10/09/2026

    Wapigwe tu.. hakuna namna.. Huyu Dokta nitanunulia vocha ya 10 akimalizana na hawa form4_0
  2. Capital

    JamiiForums Tanzania Dkt. Emmannuel Nchimbi afukuzwa uanachama wa CCM

    Mie nilishasema bila kuondoa mafisiem, kuendelea kwa Tanzania hakupo kabisaa.. watanganyika tatizo ni majuha, yaani hayaelewi chochote.. ilitakiwa tukomboe nchi yetu ya asili kwanza, theni hizo takataka za muungano ziongeleke kiutu uzima.. kwani nini bhanaa
  3. Capital

    JamiiForums Tanzania Siku 100 zimepita, Meli ya Uvuvi aliyoizindua Samia, Imeshindwa kuvua samaki hata mmoja

    Maccm ni mabingwa wa vitu feki. Hata hilo limeli ni feki alimradi tu kuwaibia watanzania.. wallahi siku tukiikomboa nchi yetu, firing squad inamhusu huyo chura kiziwi
  4. Capital

    JamiiForums Tanzania Bila kuiondoa CCM, watanzania msahau kabisa maendeleo.

    Hahaa.. CCM wanateneneza institution feki kama Tume ya Uchaguzi.. halafu kumbe matokeo wanayo tayari.. Intent na approach inaonekana ni genuine ili kuwahadaa wananchi, kumbe kila kitu ni feki, feki kabisa. Maccm yanabumba bumba chuo na kukifanya chuo kikuu, lakini kimsingi hicho ni chuo kikuu...
  5. Capital

    JamiiForums Tanzania Bila kuiondoa CCM, watanzania msahau kabisa maendeleo.

    True dat! Ndo maana unazisikia ng'ombe kadhaa zinatoa milio likiguswa swala katiba mpya.. wanajuwa dimbwi likikaushwa, vyura na kono kono mwisho wao ndo utakuwa umewadia..
  6. Capital

    JamiiForums Tanzania Bila kuiondoa CCM, watanzania msahau kabisa maendeleo.

    😂😂.. hii ndo sink tank ya CCM.. no wonder Tz is what it is.. a shythole nation, with dumbs like you.. the starting point would be to enlighten the masses through social media and that's what this thread is about..
  7. Capital

    JamiiForums Tanzania Bila kuiondoa CCM, watanzania msahau kabisa maendeleo.

    Hizo mbinu alizong'olewa nazo kaburu usidhani zinapatikana mbinguni.. watz hawajaamua tu kuzitumia.. siku wataamua liwalo na liwe.. ni suala la muda tu
  8. Capital

    JamiiForums Tanzania Bila kuiondoa CCM, watanzania msahau kabisa maendeleo.

    Inahuzunisha sana mkuu... mbinu mojawapo ya maccm, ambayo haina tofauti kabisa na wakoloni ni kuwaadhibu watu wasiowaunga mkono. Ndo maana nimesema mabeberu huwa yanawapa mbinu namna ya kuwalazimisha watu. Hali ya Mbeya inasikitisha zaidi maana lile vumbi siyo la dunia hii. Maccm yaliamua...
  9. Capital

    JamiiForums Tanzania Bila kuiondoa CCM, watanzania msahau kabisa maendeleo.

    Ni hatari sana kiongozi.. ukienda maeneo mengi ya Tz, mijini hadi vijijini utashangaa sana. Yaani kuna umaskini wa kutisha. Si kwamba watu hawafanyi kazi, la. Ni kwamba ili ufanikiwe lazima uwe na connection ili kazi zako ziwe nabtija, ili taasisi uchwara za masisiem zisikusumbue. Hadi...
  10. Capital

    JamiiForums Tanzania Bila kuiondoa CCM, watanzania msahau kabisa maendeleo.

    Hakuna kisichokuwa na mwisho.. Kaburu aling'oka baada ya karne kadhaa za ukandamizaji.. hata mafia iko siku watatoweka tu.. usijitie upofu
  11. Capital

    JamiiForums Tanzania Bila kuiondoa CCM, watanzania msahau kabisa maendeleo.

    Kabisa mkuu.. hawa mafia huwa yanawadiss mabeberu, kumbe nyuma ya pazia yanavuta mpunga wa kutosha ili kunyoosha njia za kutorosha mali za nchi..
  12. Capital

    JamiiForums Tanzania Bila kuiondoa CCM, watanzania msahau kabisa maendeleo.

    Wana JF. Mosi, naomba moderator usiunganishe huu uzi na nyuzi zingine zinazoongelea CCM. Huu ni uzi mahsusi. Facts: 1. Tanzania ni nchi maskini sana katika viwango vya kimatataifa licha ya kujaaliwa na kila aina ya raslimali 2. Uchumi wa Tanzania unadhibitiwa na watu wachache sana licha ya...
  13. Capital

    JamiiForums Tanzania Mtoto Wa GSM Wa Katoro Alipata Zaidi Ya Billion 1.4 Ndani ya Muda Mfupi Kama Zawadi kwenye Send off Yake Lakini CHADEMA wanahenyeka hadi leo

    Hata akili huna. Hao walotoa hiyo bilion ulishasikia wapi wametoa bilioni kujenga hata shule au hospital? Hao huwezi kuwaita matajiri, ila ni malimbukeni flani hivi. Kingine, cdm haitaki pesa chafu. Saa nyingine uwe unaficha upumbafu wako. Jiheshimu
  14. Capital

    JamiiForums Tanzania Kufungiwa JamiiForums: Mahakama Kuu yayatupilia mbali mapingamizi ya Jamhuri. Kesi rasmi kuendelea

    Samia siyo Rais.. ni mhaini hatari sana, anayestahili kuface firing squad sikiu moja
  15. Capital

    JamiiForums Tanzania Kufungiwa JamiiForums: Mahakama Kuu yayatupilia mbali mapingamizi ya Jamhuri. Kesi rasmi kuendelea

    Ndo hivyo mkuu Pascal.. unaweza ku counter argue kwenye hii kauli. nasisitiza tunaongozwa na mapumbafu fulani yasoelewa lolote.
Back
Top Bottom