Baada ya account yangu ku-collapse, nimelazimika kufungua account nyingine. Mimi siyo mgeni jf kama mnavyofikiria. Nimegundua jf ya sasa imeingiza vijana wa hovyo. Mtu anadiriki kusema swali la mwenzie ni la "kijinga" anasahau anawatukana moderators waliolipitisha na kumruhusu hata yeye kuwa...
Kuna watu nimegundua mnajifanya mna weledi na akili sana kupita wengine. Hii imepelekea kufanya kazi ya kukosoa, kukejeli, na kukatisha tamaa wengine. Ikiwa hujui lolote au labda una tatizo la wivu moyoni mwako ni vema ukatulia, natumaini jf ina watu smart watakuja hapa kujibu. Nimeandika lengo...
Kuna watu nimegundua mnajifanya mna weledi na akili sana kupita wengine. Hii imepelekea kufanya kazi ya kukosoa, kukejeli, na kukatisha tamaa wengine. Ikiwa hujui lolote au labda una tatizo la wivu moyoni mwako ni vema ukatulia, natumaini jf ina watu smart watakuja hapa kujibu. Nimeandika lengo...
Wakati
Kuna watu nimegundua mnajifanya mna weledi na akili sana kupita wengine. Hii imepelekea kufanya kazi ya kukosoa, kukejeli, na kukatisha tamaa wengine. Ikiwa hujui lolote au labda una tatizo la wivu moyoni mwako ni vema ukatulia, natumaini jf ina watu smart watakuja hapa kujibu...
Wakuu, naomba mnisaidie majibu ya maswali yafuatayo:
1. Naweza kuhama kumfuata mwenzi ambaye si mtumishi wala mfanyabiashara, yaani ni mama wa nyumbani?
2. Ikiwa na. 1 hapo juu inawezekana, ni viambata gani vinahitajika ktk mfumo wa ess kukamilisha hili?
Natanguliza shukrani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.