Sijasoma mpk mwisho nimeishia pale nikaitwa hotel nkapakiwa na gari ile kufika nafunguliwa mlango kaa bla na bikini asee hapo nimeona ni Chai kabisa
Sent from my iPhone using JamiiForums
Yani nimesoma huu uzi asee nimebaki nacheka 16/12/2019 nimetoka dar kuja chuggah pale shekilango Kilimanjaro ametoa gari 10 zinazoenda arusha na Moshi na kwenda dar hivyo hivyo na gari zote zipo level seat na wengine wamepakiwa njiani wakakaa pale pembeni ya derava juu ya engine sasa kusema...
Mkuu tafuta kabisa KY au Babycare mafuta mgando kwa kodi izi tegemea uchoreshwe 7 na kuliwa kisamvu yani akipita apa lazim ajue labda uedit au ufute
Sent from my iPhone using JamiiForums
Awa watoto nawaona pale ushirika ( MoCU) uyo mmoja wanamuita makaya og ni mmeru uyo mwingine anaitwa Nancy anadrive kigari aina ya suziki wacha wale maisha mzee ndo muda wao uko insta
Sent from my iPhone using JamiiForums
Uyu jamaa ni mnafiki sana aliwai sababisha nkala ban
Sasa kama hapendezwi na huu uzi anakuja fata nini kama sip unafiki na umakuzi tu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Juzi naenda zangu Arusha pale Bagamoyo kabla haujafika Wami gari likapaki tuchimbe dawa kwakua ni asubui kiherehere changu si nkasema ngoja ninunue chai na samusa 2 asee na vile nlikua na dogo eti vikombe viwili chai ya maziwa 4000 ikaenda samusa 4 napo elfu 4000 ikaenda ***** sitarudia tena...
Kama angenyooka na mnara mzee ilikua ni vilio mda huu na ata yeye mwenyewe maana pale zilikuepo bajaji na waenda kwa miguu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu unaloongea unauhakika nalo? Kwa kaskazini now ni kilimanjaro ameaminika sana dar express ilikua miaka 7 nyuma uko kampuni imekufa iyo inaendeshwa kilocal sana baada ya kukabidhiwa mwanamke , magari mabovu yana haribika customer care mbaya uwezi sema kampuni imemantain uku inarekodi mbaya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.