Hiyo router ni ya aina gani? Taja model japo umeshaiunlock.. kuna router zipo ndani nimetafuta solution nimekosa kitambo sana isije ikawa zishapata ufumbuzi
Bila kusahau mazda verisa, honda freed & freed spike....Na nyengine nyingi brand nje ya toyota.. mchawi spare maana unaweza kuta dar nzima unaimiliki peke yako
Bila 25M hupati hiyo gari.. yard unapigwa na kitu kizito kwa 28M.. huyu mtoa mada best option avizie Toyota Rumion au noah 2008. hii (noah)kwa bajeti hiyo akeshe Sbt kuvizia (new arrival)
Fanya research ndogo.. Waambie waloconnect wote wa disconnect kisha upime speed mwenyewe... nahisi mahali ulipo internet sio nzuri sanaa... Airtel ana maeneo yake.. sio kila sehemu anaspidi.. au badili location. kuna mwana anayo nikiwa natumia ipo slow hata kustream youtube haifiki 720p...
Nida yako tu.. Na either umfate wakala alipo au akufate.. hapo kwenye kukufata ndo unaweza kuchangia nauli.. ukishasajiliwa line ujiunge kifurush chochote hapo hapo... Ila kwa sasa line za kupiga na kupokea hawasajili tena... zipo za data only
Toka Halotel waje na M2M nimesajili Line mbili.. Moja hiyo haipigi wala kupokea ya data only... Hii haina maajabu sana hata uungaji wake ni mgumu mpaka uwe na line ya halotel nyengine maana haina Halopesa na bando zake zinaanzia 15k kwa mwezi au 5k kwa wiki, 15k gb 18 na hiyo ya 5k gb 4..
Pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.