Nina Advanced Diploma ya Accounts nahitaji kuwa mwalimu wa masomo ya biashara kwa chuo au shule yenye kuhitaji mwalimu wa aina hiyo tuwasiliane kupitia 0764954585. Karibu.
Nape twambie kama Lowassa alikuwa mwizi ilikuwaje raisi wako akampa uwaziri Mkuu? Asilimia kubwa ya maisha ya EL ameyaishi akiwa CCM kama alikuwa mwizi kwanini hamkumfukuza? Kwanini mliendelea kumpa nafasi za juu zaidi? Nape jaribu kuwa mstaarabu unakiabisha chama.
Ndio maana tunasema JPM amegombea kwenye mfumo mbovu, yeye ni mtu safi lakini chama chake DR. Slaa alikifananisha na choo, yeye kama yeye hawezi kuleta kuleta mabadiliko lazima ataendelea kutenda kwa kufuata mapendekezo ya tume zinazoundwa kimkakati ili kuja na mapendekezo yatakayowanufaisha...
Nimemsikiliza Dr. Slaa mwamzoni mwa hotuba yake amesema alikataa kumpokea Lowassa kwa sababu hakuja na idadi ya watu aliotaka aje nao, ina maana kama angekuja na hao watu angempokea. Baadae akaanza kueleza maovu ya Lowassa. Swali langu ni je ? Kama lowassa angekuja na hao watu na ukampokea hayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.