Dini ni neno lenye asili ya kiarabu huku likiwa na maana Ya njia.
Pamoja na bla bla zako jua kwamba zaidi Ya miaka 2000 iliyopita Yesu Kristo (Neno la MUNGU wa kweli) alivaa mwili akaja na kukaa kwetu.
Huyo Ndiye njia (dini) Ya kweli.
Dunia imejaribu kuficha Sana maisha, no kifo cha Yesu...
Quran Ni tofauti kabisa na Biblia. Inatofautiana kinadharia, dhana na hats kimapokeo.
Manabii, mitume, waalimu (Rabi) na waandishi wa hutofautiana kabisaaa .
Unapokuwa kusema njia (dini) Ya uislamu ulikuwepo hata wakati wa Adam ndo unazidi kuchafua hali ya hewa.
ila no imani Kama Hindu, Shinto...
Ili kujua asili ya hizi njia (dini) no vyema pia kujua asii Ya wale vichwa /waaminiwa mfano Musa, Yesu na Muhhamad.
Mfano Yesu alikuwapo kwa Ya hata huo msingi wa dunia hii kuwako . 17:5 Yoh.
Kwahiyo unaweza gundua kitu hapo kuhusu imani sahihi na njia (dini) gani ulikuwepo tangu kuuubwa kwa...
Kwanza Imani ya kweli kwa MUNGU wa Kweli
Pili Ni matendo mema.
Coz matendo mema Hata wana wa mashetani Kila uchwao hutenda hayo. Token Kati yao mkatengwe nao.....
He huamini Biblia??
Lengo asili la MUNGU kuwahukumu jehannamu ni kuhakikisha anaupoteza uovu na yule muovu. Ni kama wewe unavyoshabikia kuyateketeza magugu shambani mwako.
So wote ila wale wenye mbegu za uharibifu tu jehannamu itawahusu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.