Hawajaingiliwa,wamekumbushwa na wameshauriwa.
Kumbuka Hayati Magufuli alisha tuambia hata kama Luna mihimili lakini tujue kwamba upo mhimili mmoja ambao umejichimbia zaidi na ndio unaowezesha mingine
Wanasema wajuzi, "Charity begins at home"
Mh. Ummy Mwalimu umebebeshwa majukumu mazito kuliko uliyokua nayo awali. Hongera sana
Changamoto ni nyingi hata mtangulizi wako anajua.
Umeanza vyema kwa kupaza sauti dhidi ya wabadhirifu walio ibuliwa na CAG.
Nimeona eti kuna mke wa kigogo mmoja...
Hata hivyo mama amelikumbusha bunge kuangalia maslahi mapana ya taifa na sio kujadili masuala yasiyogusa maisha ya wananchi.
Hongera sana mama Mungu aliyekupandisha daraja,azidi kukupa ubora kwenye nafasi yako
Ninawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Hivi juzi mh.Spika Job Ndugai amesema vijana hawaaminiki tena kwani ni wezi. Sijaelewa kama ametumia njia gani kubaini wizi huo wa vijana.
Atakua anayo matukio yaliyomsukuma akasema maneno hayo.
Mimi nitakua tofauti kidogo na kiranja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.