Kwa mwanamke anayetafuta mume, nicheck tufahamiane. Umri wangu late 30s, Mkristo, naishi Dodoma, so nikimpata aliye Dodoma pia itapendeza zaidi. Mimi ni mwajiriwa serikalini but pia nafanya mishe binafsi.
Sifa za mwanamke nayemtaka:-
1. Mkristo
2. Awe na shughuli inayomuingizia kipato
3. Awe...