Jamani, kugoma kwa walimu ni issue inayoitajika kutengenezwa na si suala la propaganda, kinachotakiwa ni 1, walimu wote waelimushwe juu ya kile wanachopaswa kufanya 2, viongozi wawe imara na c wale wa kuyumbiswa 3, wahakikishiwe suala la utetezi inapotokea kuna jambo juu ya ajira yao. Kwa leo...