Malipo kwa kijana unaweza kubaliana kwa namna mbili, awe anakupa hela kwa siku au week (mfano 35K kila week).
Mnaweza pia kubaliana wewe ndio uwe unampa mshahara kwa mwezi (labda 200k), hii ni ngumu maana utahitaji kuwepo au kuwa na msimamizi golini.
Pia ili kummotivate kijana unaweza mpa ata...
Sawa! Apo utahitaji viti viwili Tzs 320,000
Utahitaji kodi ya frame (gharama inategemea na upo wapi)
Frame kama haina mlango wa vioo na unauhitaji andaa Tzs 550,000 pamoja na stickers zake Tzs 35,000.
Utahitaji vioo viwili(at least kwa kuanzia cha mbele na nyuma) Tzs 200,000
Kitu cha kukalia...
Hakuna namna ya kumcontact seller directly.. mfano kupitia message huko huko aliexpress au email yake? Ili umtumie kwa namna nyengine kama paypal. Mimi nilifanya hivo kupitia ebay
Hahahaha.. hii thread imenikumbusha mbalii sana! Mwaka 2018 tulienda uko kwa kikazi, tulitakiwa kukaa mwezi mzima. Sasa kufika tukapelekwa huko Dar street na dereva tax alietupokea, sisi watatu tukafikia lodge moja pale ya 25k ila kuna mwamba alileta ubahili akaenda moja ya izo guest ilikua mtaa...
Habari wakuu,
Kuna ongezeko kubwa la wauza movies mjini, kwa wingi zaidi maeneo ya Sinza na Kinondoni. Hii ni biashara ambayo inaonekana inakua kwa kasi.
Wanachokifanya ni kudownload movies za kawaida pamoja na series ambako mtu anaweza kwenda na flash/harddisk yake kwenye offices zao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.