Ndugu unashangilia treni kukwama.......!!!!!????? unaniliza sana, CCM si ndo wameitelekeza Kigoma kwa kuinyima Maendeleo kisha unaropoka kama unaharisha!!! -------.
Hivi kweli unaamini Tanzania inastahili kuwa hapa ilipo!!????? licha ya maliasili zote ilizonazo???????????????
Kweli FISI na...
Kwanza natanguliza pole na mjukumu magumu ya ujenzi wa Taifa letu Kwa kutetea maslahi ya wananchi kwa MAKAMANDA CDM wote walipo TZ nzima!
Pili nitoe pongezi kwa harakati za kuelekea kunyakua viti vingi vya UDIWANI kutokana na chaguzi ndogo zitakazo fanyika th. 16/06/2013 Tanzania kupitia viti...
Msigwa amtunishia msuli Kanali Kinana
Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa
Na Geofrey Nyangoro MWANANCHI
Posted Ijumaa,Mei17 2013 saa 20:19 PM
Kwa ufupi
Mchungaji Msigwa aliwahakikishia wapigakura wake kuwa hana hofu juu ya msimamo huo na kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.