Recent content by Bweri

  1. B

    Yaliyojiri Mkutano wa Kihistoria wa CHADEMA Mwanza, Ulirushwa live kwenye TV na Radio

    Watu wanashindwa kuelewa alichoongea Lissu kuhusu ukabila,katumia fasihi ebu elewa Ritz, hata mboye kabila yake in chadema
  2. B

    Lusinde; Timu ikifanya vibaya kawaida Kocha ndio anafukuzwa sio mchezaji

    Nimesikitika sana aliposema kalelewa na Mama,baba hamjui hivyo mambo mengine yanatokea ni kutokana na mazingira aliyokulia,tumsamehe kwa yote!
  3. B

    Utoro wa wabunge wa CHADEMA bungeni.

    Kwenye orodha yako ya wabunge wanaoshiriki vikao vyote ongeza Mh Vincent
  4. B

    Kitendo walichofanyiwa Dr. Slaa pamoja na Josephine Airport Dar es Salaam siyo cha kiungwana

    Mimi sio mwanachama wa chama chochote cha Siasaa ni Raia wa kawaida wa Tanzania!nilichokisema ni kuwa sijaona hao vijana ulosema wakiwa airport kumpokea dr na wakaondolewa na Polisi,wala sijakaa kuwa dr Slaa hakuja na hy ndege maana hata mgeni wangu pia kaja na hy hy ndege!La msingi watanzania...
  5. B

    Kitendo walichofanyiwa Dr. Slaa pamoja na Josephine Airport Dar es Salaam siyo cha kiungwana

    Mtoa taarifa acha kudanganya watu!mimi nilikuwa air port na nimesalimiana na Dr Slaa na watu wengine wakati wanachukua mizigo akiwepo Mkurugenzi wa Bugando!hao vijana wa CDM sikuwaona hapo na huo utepe!GT ebu tuwe basi na ukweli ili jukwaa hili liwe na hadhi stahiki!
  6. B

    Hali ni Tete, Mabomu Yameanza Kurushwa Tena Jijini Arusha

    Ni ukweli usiopingika askari wengi rohoni ni CDM nadhani wanafanya kwa amri,maana wanatambua mchango wa CDM toka wameshika kambi rasmi ya upinzani ndio wamekuwa watetezi wao wakubwa hasa upande wa Maslahi,leo Polisi anategemea kupata posho 225000 toka laki moja 2011.
  7. B

    Kutoka Arusha: wabunge wa CHADEMA ndio wanapelekwa mahakamani

    Mkusanyiko wa msiba(waombolezaji/kuaga mwili) huwa mpaka kibali cha polisi?mwenye ufahamu zaidi anisaidie
  8. B

    Hali ni Tete, Mabomu Yameanza Kurushwa Tena Jijini Arusha

    Kungekuwa na madhara gani kama polisi wangetimiza wajibu wao wa kulinda raia na mali zao?ttz ni polisi kutumika kama Condom
  9. B

    Hali ni Tete, Mabomu Yameanza Kurushwa Tena Jijini Arusha

    Kama polisi hawakutaka waingie hapo uwanjani kwanini wasubiri hadi viongozi waanze kuhutubia ndio wapige hayo mabomu!maana walikuwa na uwezo wa kuwazuia hata hapo uwanjani wasifike!CCM msilazimishe Arusha sio yenu!hy ni janja hata 30 pia hakutakuwa na uchaguzi hadi 2015
  10. B

    Njia zipi nipitie kulea mtot anaeishi katika mazingira magumu kisheria?

    wilaya(manispaa) utapata utaratibu wote sio kazi ngumu sana Sky kama Afisa ustawi anajua wajibu wake!maana watoto no wengi kwenye vituo na hakuna huduma so wenye moyo kama wako mkiwasaidia ni vizuri na Mungu atazidi kukubariki sana؛
  11. B

    Njia zipi nipitie kulea mtot anaeishi katika mazingira magumu kisheria?

    Utaratibu wa kuasili mtoto lazima uanzie ustawi wa jamii,anaehitaji mtoto anahojiwa na kujua anahitaji mtoto wa umri gani na jinsia,baada ya kumaliza taratibu zote mtoto anaweza kupewa kutoka kituo chochote hapa nchini kwa kuzingatia watoto ambao hawana ndugu!Sky vile unahitaji kuasili...
  12. B

    Njia zipi nipitie kulea mtot anaeishi katika mazingira magumu kisheria?

    ni wazo zuri sana kama umeamua kwa dhati ingawa ndg nao wakati mwingine huwa kikwako!nakushauri muone Afisa ustawi wa eneo unaloishi na umueleze lengo lako pia ni vizuri ukachukua mtoto chini ya 3yrs waliofiwa na wazazi au walotupwa ambao wanapatikana sehemu maalumu kuliko walioko mtaani...
  13. B

    Mh.Godbless Lema,Said Mwema,Bi.Kijo Bisimba, Live Sauti ya America(VOA) saa moja na nusu Usiku leo

    Ben weka kumbukumbu sawa Waziri Kivuli ni Mh Vincent Nyerere,ila tunasubiri huo muda ni radio ganiM
  14. B

    CHADEMA, Kulikoni Jengo la Ghorofa Lililoporomoka?

    ingekuwa busara sana kama tungekuwa na viongozi Wazalendo na wawajibikaji haya yote yasingetokea.Kutoa pole haitasaidia kitu wakati tuunasubiri majanga mengine kama haya kutoka muda wowote,kwa nn wasizuie(inafika mahala naamini kauli niliyowahi kuisikia kuwa Mkulu ni dhaifu).
  15. B

    CHADEMA, Kulikoni Jengo la Ghorofa Lililoporomoka?

    ingekuwa busara sana kama tungekuwa na viongozi Wazalendo na wawajibikaji haya yote yasingetokea.Kutoa pole haitasaidia kitu wakati tuunasubiri majanga mengine kama haya kutoka muda wowote,kwa nn wasizuie(inafika mahala naamini kauli niliyowahi kuisikia kuwa Mkulu ni dhaifu).
Back
Top Bottom