Recent content by bwegepeponi

  1. B

    Jipu Jingine TPA: Thousands of containers, vehicles dodged wharfage

    umenena mkuu haiwezekani upotevu mkubwa hivyo wasiwajibike Natumia ndio majipu Rais wetu anasubiri kuyafanyia upasuaji theatre kwani kutumbua kwa mkono hayafai
  2. B

    Jipu Jingine TPA: Thousands of containers, vehicles dodged wharfage

    The report pointed out that former acting TPA Director General, Madeni Kipande, through his letter with reference no. DG/3/3/06 dated 05th February, 2013, formed a committee to supervise TICTS, ICDs and CFSs which were blamed for the loss while completely sidelining Dar es Salaam port manager...
  3. B

    Rais Magufuli awatimua Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mwenyekiti wa Bodi na Katibu Mkuu Uchukuzi

    mkuu usisahau Kipande ndiye alikuwa bosi mkuu kipindi cha upotevu wa kontena hizi na Waziri mwakyembe. Je hawa wako salama?
  4. B

    nagawa code ya ku-stream live zali all white party.

    A pregnant woman in white gown!!!
  5. B

    Ufisadi wa bilion 230 za mabehewa 'feki' mazito yaibuka, sasa Waziri Mwakyembe kitanzini

    Unapochafua wenzako ili hali wewe sio msafi lazima utaumbuka. Ona sasa kilichojiri! Ushauri tu kwa Mzee wa Monduli mwezi Dec 2015 utakapokuwa magogoni anza na hili ikifuatia ufisadi unaosemekana kufanyika bandarini.
  6. B

    ZITTO KABWE Ulimi umeteleza ama? Kuanzisha chama ukiwa ndani ya Chadema ni Uhaini!

    Huo ni usaliti sawa na mwanamke akubali kuchumbiwa akiwa ndani ya ndoa!
  7. B

    Samuel Sitta amsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mhandisi Madeni Kipande

    Mkuu, usisahau kuwa sauti ya wengi ni sauti ya mungu. Haiwezekani wote hao wanashangilia bila sababu. Uliza wadau wa bandari wakupe ufisadi wa Kipande utafuta kauli yako unless wewe ni Kipande mwenyewe au mfaidika wa uwepo wa huyu ndugu. Hafai kabisa ameua taswira ya bandari kwa u strict wake...
  8. B

    Samuel Sitta amsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mhandisi Madeni Kipande

    Pigo la pili kwa mwakyembe alitegemea albaki hapa kwa Kipande kutokana na kumlinda muda wote huu aliokuwa akifanya udhalimu. sauti ya wengi ni sauti ya mungu. Umejidhalilisha sana mkuu na hakika mtalipa kwa uonevu wote mliofanya
  9. B

    Samuel Sitta amsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mhandisi Madeni Kipande

    Pigo la pili kwa mwakyembe alitegemea albaki hapa kwa Kipande kutokana na kumlinda muda wote huu aliokuwa akifanya udhalimu. sauti ya wengi na sauti ya mungu. Umejidhalilisha sana mkuu na hakika mtalipa kwa uonevu wote mliofanya
  10. B

    Samuel Sitta amsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mhandisi Madeni Kipande

    Tina aliandika madudu lukuki ya huyu zimwi wmataahira wa jf wakamtukana. Kipande ulijisahau ukadhani bandari mali yako. Subiri mziki wako. Ulisahau kuwa "Yaliyomkuta kibeku na ungo yatamkuta"
  11. B

    Kikwete unamuogopa Mwakyembe

    Subutu hajitaki? Nao wana yake kibao. Cc lara
  12. B

    Kikwete unamuogopa Mwakyembe

    Kupiga kazi vile (kwenye media) mpaka kuwaaminisha watanzania halafu mkuu anakuweka benchi mwaka wa uchaguzi aisee unaweza kuwa kichaa jamani!! Kumbe Utabiri wa shehe Yahya junior kuwa kuna waziri wa jk atakuwa kichaa mwaka huu una weza kuwa kweli!! Mbona ngafu nkamugwangu!
  13. B

    Rais Kikwete afanya Mabadiliko katika Baraza la Mawaziri. Sitta, Mwakyembe wabadilishiwa Wizara

    Porojo tu subirini repoti ya wakaguzi itabainisha mapato na matumizi ya bandari. Huyu jamaa ni mwongo hatari Muhongo ana nafuu. Sio muda mrefu ukweli wa aliyosema bandarini utajulikana. Nampongeza jk kwa hili!
Back
Top Bottom