nilikuwa natembea bao 9 hadi 13 kuanzia asubuh hadi jioni, enzi hizo nakula boom na mapart time sasa hivi hata bao tatu siendi siku nikipiga bao tano kwa siku sitafanya kazi yoyote.
zaodi6na zaidi nilikipiga mechi kali na malaria inaniripika. homa.
nikajua age go
Bunge linaendelea na hakuna anayejali kupanda kwa bei ya vyakula na bidhaa.
Salaam!
Hali ya uchumi inaelekea pabaya sana. Kama kuna mbunge anasoma huu ujumbe wangu afanyr jambo. Huku mtaani kila kitu kimepanda bei, cha ajabu kwa hawa user wa mwisho kabisa ie mwananchi kila kitu bei imepanda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.