afadhali umenitoa tongo maana kuna mmoja anaishi kwangu ana 34yrs. Hadi sabuni anagongea, na akikuta mtoto kaacha kikombe kwenye korido haokoti. Dunia ina mambo sana, kisa anategemea dadaake atamkingia kifua
Nimekaa na kuwaza kwa kina pamoja na ukweli kwamba imani yangu haifungamani na upande wowote, ni vizuri ukajiuliza.
Wengi wa wachambuzi wanakimbilia maandiko yamesema kwamba iran itapotea kwenye ramani.
Wengine wanadai Israel itapotea na wengine marekani inaendelea kutafuta shimo la kupotelea...
Vita ya iran na Israel ni ya kimkakati.
Wazungu wanatabia siku hizi ikifika mwezi wa ramadhan wanaweka maspika makubwa wakijua wenzao ni mwez kwa kukaa kwa utuliv, unyenyekevu polepole na ukimya na kutubu.
Sasa Makafiri wanaona ni mida wa kuwaletea vurugunchungulia nani kaanza kurusha maneno...
sidhani kama kuna Mtanzania atakaa akubali any minimum reforms. kama ambavyo wanapinga minimum reforms za NEC kwenda NEC(huru) TUME YA UCHAGUZI KUWA TUME HURU YA UCHAGUZI.
Wabongo wanataka practical(tangible) reform kwa mfano. Rais akitoka madarakani ashitakiwe(wanataka mtu afunguliwe mashtaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.