Recent content by bwawani90

  1. bwawani90

    Kisa cha mwenye nyumba

    unawaachia watu wengine mizigo mbaya sana. Kimsingi hata ukichelewa kuzaa ni kwamba utawaacha watoto wadogo, unawapa presha
  2. bwawani90

    Hivi inakuaje mpaka dume Zima linalilia mwanamke aisee hii kitu hainiingii akilini

    afadhali umenitoa tongo maana kuna mmoja anaishi kwangu ana 34yrs. Hadi sabuni anagongea, na akikuta mtoto kaacha kikombe kwenye korido haokoti. Dunia ina mambo sana, kisa anategemea dadaake atamkingia kifua
  3. bwawani90

    Kisa cha mwenye nyumba

    Mkuu utafyatuaje watoto ndani ya nyumba ya bure
  4. bwawani90

    Nampenda sana Najma Paul

    ni yule dada wa TV stesheni flan ana sauti ya base namkubali ni vitu vyangu ila sitakuja kuacha kumpenda Sylvia Bahame
  5. bwawani90

    Songesha: Special Thread

    Samahani, Songesha imeshindwa kumalisha muamala wako kwa sasa. Tafadhali jaribu tena baadae.
  6. bwawani90

    Ikiwa ubashiri wako vita ya Israel na Iran, Israel akisaidiwa na Marekani ni mihemuko kiimani. Jitafakari

    Nimekaa na kuwaza kwa kina pamoja na ukweli kwamba imani yangu haifungamani na upande wowote, ni vizuri ukajiuliza. Wengi wa wachambuzi wanakimbilia maandiko yamesema kwamba iran itapotea kwenye ramani. Wengine wanadai Israel itapotea na wengine marekani inaendelea kutafuta shimo la kupotelea...
  7. bwawani90

    Sina amani ya moyo na maisha ya mjini

    unaweza ukaamza at a small scale level with ambitious. ila iwe porini
  8. bwawani90

    Mojtaba Khamenei achaguliwa kumrithi hayati baba yake…

    Vita ya iran na Israel ni ya kimkakati. Wazungu wanatabia siku hizi ikifika mwezi wa ramadhan wanaweka maspika makubwa wakijua wenzao ni mwez kwa kukaa kwa utuliv, unyenyekevu polepole na ukimya na kutubu. Sasa Makafiri wanaona ni mida wa kuwaletea vurugunchungulia nani kaanza kurusha maneno...
  9. bwawani90

    Vita ya Urais 2030, itawatoa roho Mwigulu Nchemba na Emmanuel Nchimbi

    sidhani kama kuna Mtanzania atakaa akubali any minimum reforms. kama ambavyo wanapinga minimum reforms za NEC kwenda NEC(huru) TUME YA UCHAGUZI KUWA TUME HURU YA UCHAGUZI. Wabongo wanataka practical(tangible) reform kwa mfano. Rais akitoka madarakani ashitakiwe(wanataka mtu afunguliwe mashtaka...
  10. bwawani90

    JamiiForums Usiku wa manane

    ephen_ dear
  11. bwawani90

    Hivi huku Mbweni wanaishi Watanzania? Haya majengo sio poa

    miaka hiyo nilimiki tsh 400k je ningepata kiwanja huko Mbweni?
Back
Top Bottom