Recent content by Bwawa la mindu

  1. Bwawa la mindu

    JamiiForums Tanzania Juzi kati nimepanda Coaster za magazeti usiku Dar-Arusha, tulipepea njiani

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  2. Bwawa la mindu

    JamiiForums Tanzania Juzi kati nimepanda Coaster za magazeti usiku Dar-Arusha, tulipepea njiani

    Haikuwa ya magazeti ndugu, na usiombe kuipanda ile landcruiser hardtop ya EMS. Badala ya kutapika ungeharisha.
  3. Bwawa la mindu

    JamiiForums Tanzania Nawaonea huruma rafiki zangu, usiombe kuzaa na mwanamke asie na akili

    Mimi kyusa nimezaa na mchaga ila tunaelewana sana. Mpaka kuna muda ananimiss, hayupo kwenye mahisiano na mtoto yuko darasa la tano.kukiwa na shida juu ya mtoto napiga simu naongea na mwanangu afu ndo natuma hela huku dogo anajua kwamba BABA ANANITUMIA HELA YA KIATU AU YA BEGI LA SHULE AU YA KULA.
  4. Bwawa la mindu

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Sensa haitauliza kuhusu Dini ya mtu

    Swali pendwa la dini liwepo, ili tiwaonyeshe kwamba sisi waislam ni wengi nchi hii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  5. Bwawa la mindu

    JamiiForums Tanzania Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

    Mimi nilikimbia kutoka viwege kwa muda mrefu sana. Nilipofika sehemu niliyokuta watu nilimuona dada mmoja anakaanga samaki nikamuuliza dada hapa ni wapi? Akanijibu hapa ni kilwa masoko nikazimia.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  6. Bwawa la mindu

    JamiiForums Tanzania Sitosahau safari yangu ya Lindi iliyojaa maumivu na tabu nzito

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  7. Bwawa la mindu

    JamiiForums Tanzania Mpenzi wangu analia muda huu kwa kumkatalia kuni-massage

    Hicho tu unaogopa? Mwenzio siku ya kwanza kunyonywa kinyeo na dem wangu nusu nipigane. Ila mtanga yule kiboko alinibong'olesha na undava wangu wote.
  8. Bwawa la mindu

    JamiiForums Tanzania Nafuta mke mwathirika wa HIV

    Wewe ni ke au me?
  9. Bwawa la mindu

    JamiiForums Tanzania Nafuta mke mwathirika wa HIV

    Ameen
  10. Bwawa la mindu

    JamiiForums Tanzania About Last Night, Penzi ni kikohozi kulificha huliwezi

    Naamini nikisimama na wewe dadaangu ntapata msaada. Napaza sauti ili unisikie dada #kasie
  11. Bwawa la mindu

    JamiiForums Tanzania Nimeuchoka Mwili wa Kibantu

    Dadaangu kuna ujumbe nimeuweka hapo chini. Naomba uupitie dada naamini utanisaidia.
  12. Bwawa la mindu

    JamiiForums Tanzania Nimeuchoka Mwili wa Kibantu

    Nisamehe dada mbantu,naingilia mada yako. Natamani nipate mke kupitia hii thead yako. Mimi ni mume mtarajiwa wa mke ntakaempata hapa. Naishi na VVU mwaka wa 11 sasa. Naumia moyo nnavotoka na wanawake ambao wako salama japo natumia condom. Natamani nipate mwenzangu ili tuishi wote kwa matumaini...
  13. Bwawa la mindu

    JamiiForums Tanzania Nafuta mke mwathirika wa HIV

    Nahitaji mke mwenye vvu kama mimi ili tuishi kwa upendo na kuthaminiana. Mimi ni mwanaume wa umri wa miaka 38 nahitaji mke wa aina yoyote ili mradi awe na ni mwathirika mwenzangu. Naishi maisha ya kawaida na nnawapenzi ambao ni negative natumia condom ila natamani nipate mwenzangu ili tuishi kwa...
  14. Bwawa la mindu

    JamiiForums Tanzania Wazawa wa Dar (wazee wa vigoma) wametu-save sana tulipokuwa chuo

    Mimi nawaita viswaswadu, show zao hazipingiki japo huwezi kuongozana nae.
  15. Bwawa la mindu

    JamiiForums Tanzania Nafuta mke mwathirika wa HIV

    Nimemaanisha nduguzangu, niko serious natamani nipate mtu wa hali kama yangu.
Back
Top Bottom