Recent content by bwashee2020

  1. B

    JamiiForums Tanzania Serikali imeshindwa kutolea muafaka Hospitali ya Dar Group (TOHS)

    Kuna vitu vya kitoto vinatokea kwenye hii hospital na serikali isipoingilia kati inaenda kufa. Haiwezekani hospitali haina backup ya umeme, hospital kubwa kama dar group umeme wa tanesco ukikatika huduma zinasimama kisa generator ni bovu. DG hana muda na kutengeneza generetor ila ana pesa za...
  2. B

    JamiiForums Tanzania Serikali imeshindwa kutolea muafaka Hospitali ya Dar Group (TOHS)

    Haina mmiliki....ni mali za serikali zilizochukuliwa kinyemela.
  3. B

    JamiiForums Tanzania Serikali imeshindwa kutolea muafaka Hospitali ya Dar Group (TOHS)

    Hapa kuna agenda iliyojificha kati ya uongozi uliopo na hao wanaotajwa kua wako ofisi ya RAS kwa sababu ni kama vile uongozi wa RAS unatoa majibu mepesi kwenye swala zito kama hili na kuahidi kuja kuongea na watumishi wa hospital ya dar group lakin hawatokei,lakini cha kushangaza pia viongozi...
  4. B

    JamiiForums Tanzania Serikali imeshindwa kutolea muafaka Hospitali ya Dar Group (TOHS)

    Tunaomba waziri wa Afya muh Dr Dorothy Gwajima aunde bodi kwa ajiri ya uendeshaji wa hospitali hii na watumishi wapewe mikataba ya muda mrefu itakayo wanufaisha na kuwapa utulivu wa moyo. Haiwezekani mtaaluma umfanyishe kazi kama kibarua kwa mkataba wa miezi mitatu. Pia serikali kupitia vyombo...
  5. B

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Tunaomba Serikali iingilie kati Hospitali ya Dar Group (T.O.H.S), Mmiliki hajulikani

    Mungu ni mwema kiongozi...nadhani watakuwa wamepata majibu.
  6. B

    JamiiForums Tanzania Serikali yaanza kufanyia kazi kwa haraka malalamiko yaliyoletwa JamiiForums kuhusu hospitali ya Dar Group

    ahsante kiongozi...nisamehe bure , ila shukrani sana bossi wangu.
  7. B

    JamiiForums Tanzania Serikali yaanza kufanyia kazi kwa haraka malalamiko yaliyoletwa JamiiForums kuhusu hospitali ya Dar Group

    Ahsante kwa ushauri kiongozi. Mungu ni mwema.
  8. B

    JamiiForums Tanzania Serikali yaanza kufanyia kazi kwa haraka malalamiko yaliyoletwa JamiiForums kuhusu hospitali ya Dar Group

    Tunarudi tena jukwaani wana JF kutoa shukrani za dhati kwa Mheshimiwa Rais Magufuli kwa kutupatia kiongozi bora wana Temeke; Ndg. Godwin Gondwe ambaye siku ya jana(tar 24/12/2020) alifanya ziara katika hospitali ya Dar Group akiambatana na mganga mkuu wa wilaya, DAS, OCD, mwenyekiti wa Serikali...
  9. B

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Tunaomba Serikali iingilie kati Hospitali ya Dar Group (T.O.H.S), Mmiliki hajulikani

    MUNGU si mwanadamu. hakuna ovu lisilo na Mwisho. tunamshukuru Mungu kwa ajiri ya serikali yetu sikivu na kumtuma mkuu wa wilaya aliyejaa hekima Mh Godwin Gondwe, hakika huyu mtu roho wa Mungu yu ndani yake. God is good...haki imetendeka na itaendelea kutendeka.
  10. B

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Tunaomba Serikali iingilie kati Hospitali ya Dar Group (T.O.H.S), Mmiliki hajulikani

    sio vzuri kuweka jina lake hapa jamvini , laikini kumfaham ni jambo jepesi sana...!!
  11. B

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Tunaomba Serikali iingilie kati Hospitali ya Dar Group (T.O.H.S), Mmiliki hajulikani

    sawa bwana kemal...nimekusikia. ahsante kwa kushiriki.
  12. B

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Tunaomba Serikali iingilie kati Hospitali ya Dar Group (T.O.H.S), Mmiliki hajulikani

    wanjiru...tekeleza majukumu ya taifa na familia yako...!! tunza familia yako...heshimu jamii ..heshimu mali za umma na haki za wengine and finally be humble. uwe na sku njema.
  13. B

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Tunaomba Serikali iingilie kati Hospitali ya Dar Group (T.O.H.S), Mmiliki hajulikani

    soon utapata huduma nzuri zaidi ya hizo bwana wanjiru pale wapigaji wote watakapokomeshwa na bodi imara itakapoundwa chini ya usimamizi wa serikali. kamwambie maneno haya na bossi wako aliyekutuma umtetee.
  14. B

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Tunaomba Serikali iingilie kati Hospitali ya Dar Group (T.O.H.S), Mmiliki hajulikani

    hongera...jitahidi. mwambie bossi wako asijifiche aje kazini atoe ushirikiano kwa mamlaka husila.
  15. B

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Tunaomba Serikali iingilie kati Hospitali ya Dar Group (T.O.H.S), Mmiliki hajulikani

    tunaweka reserve kiongozi...naamini mamlaka zitalishughulikia accordingly....!!
Back
Top Bottom