Recent content by Bwashee Machui

  1. Bwashee Machui

    Je unahitaji Mafundi ujenzi wenye viwango na spidi ya kazi

    Kwa sasa bado hatujasimama kwa Asilimia mia Insha-Allah
  2. Bwashee Machui

    KERO Arusha ina mpangilio wa ovyo katika usafiri wa umma

    Makonda mwenyewe yu kwani sasa...??
  3. Bwashee Machui

    KERO Arusha ina mpangilio wa ovyo katika usafiri wa umma

    Hilo kuwepo ni ngumu kutokana na dala dala kutokuwa na ruti maalumu Unakuta jioni dala dala zinakimbilia upande mmoja yaani zinapokezana na bajaji😂😂😂shida tupu sehemu ya nauli 600 utafika kwa 1500
  4. Bwashee Machui

    KERO Arusha ina mpangilio wa ovyo katika usafiri wa umma

    Hilo sio tatizo hata mwanza mbona ipo hivyo... Muhimu ni kuwa na ustaarabu kama ilivyo huko Daslamu
  5. Bwashee Machui

    KERO Arusha ina mpangilio wa ovyo katika usafiri wa umma

    Ndio bila shaka dalili za ujenzi moja wapo ni eneo kuzungushiwa Uzio na jambo hilo limefanyika katika eneo husika Bondeni city Terati
  6. Bwashee Machui

    KERO Arusha ina mpangilio wa ovyo katika usafiri wa umma

    HAKUNA JIJI LENYE MPANGILIO WA HOVYO KATIKA USAFIRI KAMA ARUSHA.. Kiukweli inashangaza sana kuona jiji kama Arusha linazidiwa na Mikoa ambayo haina hadhi kama ilivyo Arusha kuwa na mpangilio unaoeleweka katika suala zima la Usafirishaji wa Raia. Magari mengi yanaenda shakalabaghala...
  7. Bwashee Machui

    Fundi ujenzi

    🪖🦺🔨⛏️🪖🦺 SHEBWA MASONRY CONTRACTION Simu: 0673817130 (WhatsApp), Social Media: SHEBWA MASONRY CONTRACTION, Tupo: Moshi na Arusha Tunatoa Huduma Bora za Ujenzi na Ukarabati wa Nyumba! Je unatafuta huduma za ujenzi au ukarabati wa nyumba yako? Kama jibu ni ndio Timu yetu ya mafundi ujenzi...
  8. Bwashee Machui

    Unapojenga nyumba zingatia hili utaijenga kwa gharama ndogo

    🪖🦺🔨⛏️🪖🦺 SHEBWA MASONRY CONTRACTION Simu: 0673817130 (WhatsApp), Social Media: SHEBWA MASONRY CONTRACTION, Tupo: Moshi na Arusha Tunatoa Huduma Bora za Ujenzi na Ukarabati wa Nyumba! Je unatafuta huduma za ujenzi au ukarabati wa nyumba yako? Kama jibu ni ndio Timu yetu ya mafundi ujenzi...
  9. Bwashee Machui

    Unapojenga nyumba zingatia hili utaijenga kwa gharama ndogo

    🪖🦺🔨⛏️🪖🦺 SHEBWA MASONRY CONTRACTION Simu: 0673817130 (WhatsApp), Social Media: SHEBWA MASONRY CONTRACTION, Tupo: Moshi na Arusha Tunatoa Huduma Bora za Ujenzi na Ukarabati wa Nyumba! Je unatafuta huduma za ujenzi au ukarabati wa nyumba yako? Kama jibu ni ndio Timu yetu ya mafundi ujenzi...
  10. Bwashee Machui

    Hivi ni sahihi kumuuliza fundi sifa zake za kitaaluma kabla hujampa kazi?

    Ufundi kama ufundi lazima iwe azimio la moyo kama ufundi ujenzi nje ya hapo huwezi kuwa Fundi Mason bora mwenye weledi
  11. Bwashee Machui

    Unapojenga nyumba zingatia hili utaijenga kwa gharama ndogo

    Ujenzi ni grama ... Kizuri hugharimu na kuzingatiwa kwa ukaribu
  12. Bwashee Machui

    Hivi ni sahihi kumuuliza fundi sifa zake za kitaaluma kabla hujampa kazi?

    Taaluma imekuja ili kupeana ujuzi kwa uhakika zaidi...Mtaa pia unatoa mafundi bora na wenye weledi zaidi na viwango vyao ni bora bora kuliko
Back
Top Bottom