Mi nashindwa kuelewa nchi hii inakwenda wapi? Ma afisa ushirika huko wilayani wanafanya kazi ktk mazingira magumu sana hata usafiri wakwenda kutekelea majukumu yao halmashari zinadai hakuna fungu na hii imechangia vyama vya ushirika vingi vife , hivi leo tunaposikia kuna fungu lilipitishwa...
Hakuna kitu kama hicho mininachojua wanaoitwa niwale waliokwisha fanya usaili ila nafasi zikawa chache sasa wale waliochaguliwa. Kama hakuripoti inabidi aitwe alie mfuatia kufaulu ktk ule usaili ndipo unapigiwa cm ila kama hujafanya hata usaili haiwezekani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.