Sisi ni wa Mungu na kwake ndo marejeo yetu,na kila mtu atalipwa kwa kile alichokichuma,yeye yake keshayajua,kazi ni kwetu kujiandaa kwa mema kwa ajili ya akhera na sio kuhadaika na dunia.
JAMANI TUAMKE HAKIKA KILA NAFSI HAI ITAONJA UMAUTI.
Mtu muungwana siku zote kabla hajazungumza kitu anatakiwa afikir kwanza kabla ya kulaumu,na anatakiwa asipende na wala asichukie kitu,mtu n.k kupita kiasi,na asipende kufanya maamuz wakati wa hasira,na atambue hakuna mkamilifu isipokuwa mungu,na asimuhukumu mtu pasi na uchunguz na...
Sisi wanaume mara nying tunakuwa hatupendi kushindwa na wanawake,kwani tunachukulia kuwa sisi ni viongoz kwao, na vilevile ni njia moja ya kuonesha kuwa sisi majasiri ambao tunaweza kukabili na matatizo yanayotukabili..
ILA KUOMBA MSAMAA ENDAPO UMEKOSEA KWELI HAIONESHI KUWA WEWE NI DHAIFU BALI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.