Recent content by Bwanautam

  1. B

    Marufuku CD za Rogo, Uamsho na Ilunga

    Wanaweza kuwazuia wasitizame kanda ila hawawezi kuwabadilisha mitazamo na misimamo yao...
  2. B

    TANZIA: Dr. Ferdinand Masau wa Tanzania Heart Institue afariki dunia

    Sisi ni wa Mungu na kwake ndo marejeo yetu,na kila mtu atalipwa kwa kile alichokichuma,yeye yake keshayajua,kazi ni kwetu kujiandaa kwa mema kwa ajili ya akhera na sio kuhadaika na dunia. JAMANI TUAMKE HAKIKA KILA NAFSI HAI ITAONJA UMAUTI.
  3. B

    Tamko la Rais Kikwete juu ya Tukio la Arusha

    Mtu muungwana siku zote kabla hajazungumza kitu anatakiwa afikir kwanza kabla ya kulaumu,na anatakiwa asipende na wala asichukie kitu,mtu n.k kupita kiasi,na asipende kufanya maamuz wakati wa hasira,na atambue hakuna mkamilifu isipokuwa mungu,na asimuhukumu mtu pasi na uchunguz na...
  4. B

    Wanaume, tupeni majibu hapa...

    Sisi wanaume mara nying tunakuwa hatupendi kushindwa na wanawake,kwani tunachukulia kuwa sisi ni viongoz kwao, na vilevile ni njia moja ya kuonesha kuwa sisi majasiri ambao tunaweza kukabili na matatizo yanayotukabili.. ILA KUOMBA MSAMAA ENDAPO UMEKOSEA KWELI HAIONESHI KUWA WEWE NI DHAIFU BALI...
Back
Top Bottom