Ninauza eneo/kiwanja changu chenye ukubwa wa heka tatu (3 acres). Eneo hili linafaa sana kwa ajili ya ujenzi wa makazi, shule, au miradi mingine mbalimbali.
Eneo lipo mkoa wa Mwanza wilaya ya kwimba kata ya Hungumalwa, kitongoji cha Mwajikuga, karibu sana na stand, takriban kilometa 1 kutoka...