Hii ni ya muda sana lakini ngoja nijibu vitu viwili hapa,
Kwanza unapaswa kujua hakuna single father
Pili unapaswa kujua kuwa mwanaume yoyote tangu anatungwa tumbomi mwa mamake ni husband material.
Tatu hakuna mwanaume anapendwa, mwanaume anaheshimiwa. Na hivyo kazi hiyo ya "kupenda"...
Mimi mpaka alimwambiaga rafiki yangu "shemu utaona kama ninachosema ni uongo" sasa wakati naanza nae alikua na mtoto wa mwaka mmoja, wa kike, umeishi kwa vitimbwi ngendembwe za kutosha mara kaenda kwa ex wake mara kaanzisha mpya yaani tafrani, ila mimi nikawa karibu sana na watoto bila kubagua...
Vile unajipanga ukirudi tu unakuta mabinti wazuri wote wamehama, waliokohamia kuna ma handsome na pesa zaidi pekeako ndo unaanza kuwa na sura ngumu 😅 time doesn't wait
Wapendwa kama ambavyo nimeandika hapo, naomba msaada wa kitaalamu jinsi ya kuendesha biashara hii.
Sijafungua ila nimesha fanya maandalizi ya chumba pamoja na vifaa baadhi, ishu kubwa itakuwa kwenye ku-manage pesa na wafanyakazi nk.
Tena tutaishi vizuri sana, kwasasa tunaishi kwa bajeti ya pesa ambayo haipo mkononi, "mchongo ukikaa sawa nanunua kiwanja" afu mchongo unaruka kijiji, sawa na tenesko, unasema umeme ukirudi nitapona, unapumua kwa tabu mpka unakufa yenyewe yamekaa tu kama uji unasubiri kumiminwa [emoji36]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.