Nape Nnauye
Professor Baregu amewavua nguo CHADEMA na katibu wako mkuu......
Professor Baregu once said
If I told to choose between my country and my party (CHADEMA), I will choose my country, akiwa na maana kwamba kama angetakiwa kuchagua kimoja kati ya nchi yake na chama chake cha...
Hakika Yametokea Mengi Hapa Nchini Katika Kipindi Kifupi Cha Kama Miezi Miwili....Na kwa bahati mbaya matukio hayo yamekua si azuri kwa image ya CHADEMA....kubwa ni la kuhusishwa na UGAIDI...Yes UGAIDI ama kiingereza tunasema TERRORISM...lakini ukiangalia kwa mapana na marefu utajua ya kwamba...
Mohamedi Mtoi
Hilo jina lako la kwanza linanipa mashaka na elimu yako na uwezo wako wa kupambanua mambo.....sikushangai coz jina lako la kwanza lina reflect u r background kabisa.....
Father Ambros Mkenda wa Kanisa la Katoliki la Mpendae amepigwa risasi na watu wasiojulikana nje ya nyumba yake majira ya saa 12 jioni leo wakati akitokea kanisani. Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Mjini Magharibi Azizi Juma amethibisha kutokea kwa tukio hilo na amesema hakuna mtu anayeshikiliwa...
Yericko Nyerere
Naona hizi mbege za christmass zinakupelekesha vibaya..........wewe ni nani katika siasa za Tanzania mpaka uombe mdahalo na Nape.....nani anakujua huko nje kama si hapa Jamii Forums........Acha kuota bwana mdogo
Hello wana JF
Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya chang'ombe......napendelea iwe maeneo ya TCC ama upande wa Mchicha. Iwe na room moja na sebule yake pia.
Regard,
Bwana Kimbunga
Hard Hitter
Sijawahi kukutana na thread iliyojaa utumbo na mafunyunyu kama yako.....najua kuna watu either wanakuita baba,kaka,baba mkubwa ama mjomba ila wangejua upuuzi ulioandika hapo haki ya nani wangekutusi.....hivi kwa kutumia akili yako ndogo huwezi kuona kuwa toka sekretarieti mpya ya...
Ilikuwa ni siku ya Alhamisi...tarehe 5 mwezi April mwaka 2012.....nikiwa nimetulia zangu home maeneo ya USA River Simu yangu iliita...taratibu nikaitoa mfukoni na kuicheki screen kujua nani anaenipigia....screen ya simu yangu ilikuwa inasoma hivi " Godbless Calling" well najua mnataka kujua ni...
I said before, and i am going to say it again and again, wafuasi wa chadema ni wababaishaji na vilaza wakubwa to the extent that kila anapoguswa GOD FATHER wao Slaa basi povu linawatoka....hii habari ya Slaa kumiliki kadi ya CCM si issue ndogo hata mujaribu vp kuipiga chini....just imagine Mitt...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.