Recent content by Bwana kaduga

  1. Bwana kaduga

    Mwanafunzi wa Mwaka wa Kwanza UDOM adaiwa kutaka kujiua kisa wivu wa mapenzi

    Hivi siku hizi mambo ya kujinyonga hayazingatii kabila?
  2. Bwana kaduga

    Kama iliwahi kukukuta, nambie ulijinasua vipi kwenye hili balaa?!

    Ama alie kuacha kakuacha na nuksi mpaka maji ya bahari yahusike🤔
  3. Bwana kaduga

    Mwanafunzi wa Mwaka wa Kwanza UDOM adaiwa kutaka kujiua kisa wivu wa mapenzi

    Utamuua alie sababisha kifo au alie kufa ndio utamuua?
  4. Bwana kaduga

    Mwanafunzi wa Mwaka wa Kwanza UDOM adaiwa kutaka kujiua kisa wivu wa mapenzi

    Ila mapenzi jamanii🙂🙂 au ndio kusema hakuwahi kukutana na mpenzi kama huyo😔
  5. Bwana kaduga

    Uzinduzi wa awamu ya Nne wa Shindano la Stories of Change 2024, Zaidi ya Tsh. Milioni 50 Kushindaniwa

    Na mimi nitakuwepo nina jambo langu, dhumuni langu sio kushinda wala kushindana, ila kufikisha hii story nilio nayo katika serikali ya JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA. Uzuri ni kwamba wametuhakikishia kuwa kila story ilio andikwa itasomwa.🙏
  6. Bwana kaduga

    Nahisi mume wangu kanichoka kabisa

    [emoji3][emoji3][emoji3] kama kweli vile!
  7. Bwana kaduga

    Ni zamu ya nabii na mtume Mwamposa, wengine tupa kuleeee

    [emoji846][emoji846] et nikikohoa mnaitika
  8. Bwana kaduga

    Ni zamu ya nabii na mtume Mwamposa, wengine tupa kuleeee

    Kwa kweli wajinga ndio tuliwao[emoji846]
  9. Bwana kaduga

    Ukisikia taarifa za tabia za mwanao kutoka kwa watoto wenzake au majirani zako usipuuze wala usiziamini papo hapo

    Dah fimbo zimefanya kawa sugu haelewi kabisa na unaweza kupiga hadi ukachoka bila yeye kulia.
  10. Bwana kaduga

    Kwa Mwelekeo huu wa Rais Samia Wanaume tujipime

    Hivi ukitaka kumtag mtu unafanyaje et?
Back
Top Bottom