Recent content by Bwana kaduga

  1. Bwana kaduga

    Jamii Forum inapoteza ushawishi kwangu.

    Hata mimi kipindi najiunga mara ya Kwanza kupitia user nyingine ilikuwa ni nzuri Sana sanaaaa now haipo hiyo.
  2. Bwana kaduga

    JF members waliopotea siku nyingi jukwaani

    Mbona Mimi sipo kwenye orodha?
  3. Bwana kaduga

    Maisha: Safari ya kujifunza, kukua na kupata maana

    "Maisha ni safari yenye vipindi tofauti, yenye furaha, huzuni, mafanikio, na changamoto. Ni safari inayotufundisha kuwa na uvumilivu na uthabiti. Kila siku tunapita katika hatua tofauti za kujifunza na kukua, tukikumbana na vipindi vya furaha vinavyotufanya tuhisi shukrani na wakati mwingine...
  4. Bwana kaduga

    Maneno ya busara yenye hekima kuhusu maana na safari ya maisha

    Haya ni baadhi ya maneno ya busara kuhusu maisha: 1. "Maisha ni safari, siyo mbio. Chukua muda kufurahia kila hatua unayopiga." 2. "Changamoto ni sehemu ya maisha; zinatufundisha kustahimili na kukua." 3. "Ushindi wa kweli maishani ni kushinda hofu yako na kuendelea mbele." 4. "Maisha yana...
  5. Bwana kaduga

    Majadiliano ya kijamii kuhusu ununuzi wa magoli na athari zake katika soka tanzania

    Tupo na jamaa zangu kijiweni, tukifanya mazungumzo kuhusu soka. Ghafla mmoja wetu akatokea na kusema, "Unajua, mama anaupiga mwingi sana, hasa kwenye suala la kununua goli moja kwa milioni tano!" Mwingine alihitaji ufafanuzi, akahoji, "Anaweza kununua magoli kisha anayauzia wapi?" Kabla ya...
  6. Bwana kaduga

    Ombi la kuimarisha usalama na kulinda amani ya wananchi dhidi ya vitendo vya utekaji Tanzania

    Nawasalimu kwa jina la JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA. MH. RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DR. SAMIA SULUHU HASSAN, Kwa heshima na taadhima, napenda kukuandikia ujumbe huu nikiwa na imani na uongozi wako thabiti unaoongoza taifa letu la Tanzania. Tumekuwa tukisikia kwa muda sasa...
  7. Bwana kaduga

    Nini kilipelekea 1 Us dollar kubadilishwa kwa shilingi za kitanzania 7 mwaka 1960 mpaka shilingi 2600 mwaka 2024 ?

    Lakini si maandishi yanatosha kuwa pesa hakuna haja ya kwenda na malori 🙂
  8. Bwana kaduga

    Puuzeni taarifa ya Nipashe, hakuna uchotaji fedha BoT

    😀😀😀 Atanyongwa na nani sasa wakati wanashirikiana na wanyongaji.
  9. Bwana kaduga

    Puuzeni taarifa ya Nipashe, hakuna uchotaji fedha BoT

    😀😀😀 ujue anasoma na kucheka haya maombi ya mwamposa😀😀
  10. Bwana kaduga

    Puuzeni taarifa ya Nipashe, hakuna uchotaji fedha BoT

    Anakazi nyingi za kufanya jamanii bado na mitandao mingine huko anatakiwa akakanushe😀
  11. Bwana kaduga

    Puuzeni taarifa ya Nipashe, hakuna uchotaji fedha BoT

    Wao husema "jibu la mjinga ni kukaa kimya" ukiona hivyo basi ni maswali ya wajinga, wao wenye akili hawawezi kujibu.
  12. Bwana kaduga

    Huwezi kumiliki/ kumilikishwa/ kuendesha LC 300 kama hutumii nguvu za giza

    Maana hata freemason huko ndio inaanzia huku tunamalizia tu.
Back
Top Bottom