Recent content by bwana fundi

  1. B

    Mama Samia ni Amir jeshi Mkuu au Amirat Jeshi Mkuu?

    Jamani neno mfalme nalo ni kutoka lugha nyingine ambayo niya kibantu,kiarabu ni maalik kama ni mwanamume na maalkiya ni mtawala wa kike.itoshe tu tuelewe kuwa kwa kiswahili safi ni mfalme kwa kiingereza king, kuna namna nyingi za kufafanua vyeo hivi lakini pia neno sultan ni la kiarabu pia lenye...
  2. B

    Mama Samia ni Amir jeshi Mkuu au Amirat Jeshi Mkuu?

    Wewe ndugu hilo neno amirijeshi na amirati jeshi si dogo kama mnavyosema, hao wanaong'ang'ania hicho cheo kiwe cha kike wana maana yao mbaya sana usiwabeze hiyo nafasi wameitafuta kwa muda mrefu. Elewa amir kweli ni neno la kiarabu lakini lilipoingizwa kwenye kiswahili lilitoholewa kutoka lugha...
  3. B

    Makosa 10 aliyotenda Mungu

    WEWE WIRELESS BRAIN MIMI SIKUFUNDISHI ILA NIKWAMBIE TU HUJUI KUTAFSIRI MAANDIKO MAANA HUNA ROHO MTAKATIFU NA HUYO ANAEKUFIKIRISHA NI ROHO MTAKAFUJO a.k.a SHETANI,EBU FIKIRI KIDOGO TU NI KWA NIA GANI HASA UNAOA MKE NA HUKU UKIJUA ATAPATA MIMBA NA ATAZALIWA MTOTO AMBAYE ATAKUTANA NA SHIDA NYINGI...
Back
Top Bottom