Kama ulikuwepo kwenye sherehe za 9 dec au uliona kwa TV, utaona rais anakurupuka kwenda kupiga ngoma kinyume na utalatibu uliokuwa umepangwa na walinzi wake. Anafanya vitu vizuri kwa taifa lakini kumbuka sio Mungu naye anakosea anapaswa kukosolewa.
Ndugu waTz wenzangu
Nimekaa na kutafakali hivi kati ya safari za JK enzi zake nakupewa jina la Vasco dagama na hii zana ya tisha tisha ya JPM ya tengua na teua kipi kina maslahi kwa taifa letu. Maana enzi za JK watz tulikuwa tunapiga kelele sana kwamba mshua anasafiri mno lakini kipindi hiki...
Bunge kwa kipindi hiki halina kazi yoyote nazani ,rais angekutumia mamlaka aliyopewa kufanya bunge wawe wanakutana mara moja kwa mwaka, pesa tunayookoa hapo itumike kujenga viwanja vya ndege vya maana kila mkoa.
Kila mtu na starehe yake yule aliyeondoka alikuwa anapenda kusafiri kama vasco dagama, huyu bwana anapenda kutengua na kuteua dah nazan baada ya miaka kumi safari za yule bwana zinaweza lingana na tengua teua za bwana huyu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.