Aliyemshauri Rais aende kwenye uzinduzi badala ya kuaga miili ya askari alikosea sana

ligera

JF-Expert Member
May 17, 2014
2,646
1,167
Nwalimu alisema si dhambi kwa mkubwa kuomba radhi. Hayo ni makosa makubwa hakukuwa na sababu yoyote ya msingi ya raisi kuacha kuhudhuria uagaji wa miili ya askali wetu hata kama walikuwa hawana vyeo lakini walijitolea maisha yao kwa ajiri ya tanzania. Macho na masikio ya wengi yalikuwa kwenye huo msiba na si huko alikokwenda.
Hakuna kitu cha thamani kama uhai hivyo wale walifariki ni kama famila yake . unaachaje kwenda kuwaaga watu waliojitolea maisha yao unaenda kuzindua majengo vitu ambavyo vingeweza kupangiwa siku nyingine.

Raisi wetu ajifunze kuwa mwepesi kuhukudhuri kwenye shughuri ambazo zinawatia simanzi watanzania wengi.

Watanzania wanatunza tu kumbukumbu na mwisho wa siku watamwona raisi kama ni mtu asiye jali watu wake ili hali hujisifu kwenye majukwaa kama raisi wa wanyonge.
Watanzania walitaka kusikia kauli ya mkuu wa nchi katika kutangaza vita dhidi majambazi jwa sababu raisi kwa mujibu wa katiba yetu amepewa mamlaka ya kutangaza vita, maafa na majanga mbalimbali yanayotokea nchini , na pale kwenye kuwaaga wahanga ndio paleikuwa mahali muafaka kwani hata akiongea raisi kuna kuwa na uzito mkubwa kuliko akiongea waziri .Vilevile watu walitaka kusikia wategemezi wa marehemu raisi anawatefemeza vipi kwani wahanga hao wana watoto wadogo wanaosoma, wazazi na wengineo. Nimeongea haya huku nikikumbuka tukio la wanajeshi wetu zaidi ya watatu waliokufa Congo DRC wakati JK akiwa raisi na alihudhuria na alionyesha kuhudhunishwa kwa kiasi kikubwa huku akitoa ahadi ya kuwasaidia watoto wa wahanga wale kwa kserikali kuwasomesha.
Nadhani watu walio pewa dhamana ya kumshauri raisi walikosea sana , walishindwa kutekeleza majukumu yao
 
Serikali ina utaratibu zake za kufanya kazi usiwafundishe kazi na usifikiri Ikulu pale wote hawajui kuwa kuna askari Polisi 8 wameuwawa huko Pwani na wanaagwa Polisi Barracks hiyo Jana.

Usipende kulaumu tu sio kila mahali Rais lazima aende kama unavyotaka wewe.
 
Nwalimu alisema si dhambi kwa mkubwa kuomba radhi. Hayo ni makosa makubwa hakukuwa na sababu yoyote ya msingi ya raisi kuacha kuhudhuria uagaji wa miili ya askali wetu hata kama walikuwa hawana vyeo lakini walijitolea maisha yao kwa ajiri ya tanzania. Macho na masikio ya wengi yalikuwa kwenye huo msiba na si huko alikokwenda.
Hakuna kitu cha thamani kama uhai hivyo wale walifariki ni kama famila yake . unaachaje kwenda kuwaaga watu waliojitolea maisha yao unaenda kuzindua majengo vitu ambavyo vingeweza kupangiwa siku nyingine.

Raisi wetu ajifunze kuwa mwepesi kuhukudhuri kwenye shughuri ambazo zinawatia simanzi watanzania wengi.

Watanzania wanatunza tu kumbukumbu na mwisho wa siku watamwona raisi kama ni mtu asiye jali watu wake ili hali hujisifu kwenye majukwaa kama raisi wa wanyonge.

Nadhani watu walio pewa dhamana ya kumshauri raisi walikosea sana , walishindwa kutekeleza majukumu yao
Aliyekwambia rais! Wetu anashaurika nani?Eti Amir Jeshi mkuu askari wake 8 wanafariki badala ya kwenda kutoa pole na kuwatia nguvu askari waliosalia anakwenda kufungua Mabweni na Majengo kazi ambayo ingefanywa na Waziri wa ujenzi!Halafu tukiongea, eti IGP atakashughulikia watu wa mitandao!Alieturoga kafa..Mwafaaa
 
Mkuu huyu hashauriwi huwa anakurupuka tu kivyake vyake bila kuangalia negative repercussion(s)

Nwalimu alisema si dhambi kwa mkubwa kuomba radhi. Hayo ni makosa makubwa hakukuwa na sababu yoyote ya msingi ya raisi kuacha kuhudhuria uagaji wa miili ya askali wetu hata kama walikuwa hawana vyeo lakini walijitolea maisha yao kwa ajiri ya tanzania. Macho na masikio ya wengi yalikuwa kwenye huo msiba na si huko alikokwenda.
Hakuna kitu cha thamani kama uhai hivyo wale walifariki ni kama famila yake . unaachaje kwenda kuwaaga watu waliojitolea maisha yao unaenda kuzindua majengo vitu ambavyo vingeweza kupangiwa siku nyingine.

Raisi wetu ajifunze kuwa mwepesi kuhukudhuri kwenye shughuri ambazo zinawatia simanzi watanzania wengi.

Watanzania wanatunza tu kumbukumbu na mwisho wa siku watamwona raisi kama ni mtu asiye jali watu wake ili hali hujisifu kwenye majukwaa kama raisi wa wanyonge.

Nadhani watu walio pewa dhamana ya kumshauri raisi walikosea sana , walishindwa kutekeleza majukumu yao
 
Serikali ina utaratibu zake za kufanya kazi usiwafundishe kazi na usifikiri Ikulu pale wote hawajui kuwa kuna askari Polisi 8 wameuwawa huko Pwani na wanaagwa Polisi Barracks hiyo Jana.

Usipende kulaumu tu sio kila mahali Rais lazima aende kama unavyotaka wewe.
Mtoa mada ana mzungumzia "raisi kuto hudhuria msiba wa askali" usipanic najua unamzungia Rais!
 
Ratiba ya ufunguzi wa majengo ilipangwa muda mrefu.
Nafikiri uongozi wa police awakuwa na sababu ya kufanya shughuli za kuaga msiba hiyo jana wangesubiri ata leo au wangefanya jioni.pili ikumbukwe kuwa Rais aendi sehemu bila idhini ya wanausalama.na hii ufanyika maandalizi kwa ata wiki kabla ya siku ya tukio husika.naisi ni ishu ya protocal zaidi na sio sababu hizi ambazo tunazitoa kwa ajili ya mihemko.ikumbukwe Rais anapangiwa pa kwenda na walinzi wake,na sio atakavyo yeye
 
Alishasema yeye hapangiwi sasa hao washauri wanafanya kazi gani mkuu mpamire aliwahi kusema katika moja ya comedy zake museven ana 40 advisers lakini akikutana nao ni yeye ndiye anawashauri hili pia naliona kwa anko magu
Japo kiukweli waliokufa nibinadamu kama sisi ila wanapokuwa na sare sijui huwa wanafikiria nini
 
Ratiba ya ufunguzi wa majengo ilipangwa muda mrefu.
Nafikiri uongozi wa police awakuwa na sababu ya kufanya shughuli za kuaga msiba hiyo jana wangesubiri ata leo au wangefanya jioni.pili ikumbukwe kuwa Rais aendi sehemu bila idhini ya wanausalama.na hii ufanyika maandalizi kwa ata wiki kabla ya siku ya tukio husika.naisi ni ishu ya protocal zaidi na sio sababu hizi ambazo tunazitoa kwa ajili ya mihemko.ikumbukwe Rais anapangiwa pa kwenda na walinzi wake,na sio atakavyo yeye

kwa hiyo hata kushitukiza huwa anapangiwa na walinzi wake
 
kwa hiyo hata kushitukiza huwa anapangiwa na walinzi wake
Kustukiza nini kwa mfano?
Wewe unajua ratiba zake anazopanga na walinzi na wasaidizi wake? Na marangapi unajua kuwa ameenda kinyume na ratiba alizokubaliana na wasaidizi na walinzi wake??? Tuache story za Mage kimavi hapa lets be serious kwenye kufikiri na kuongea...umewai ona ratiba zake officialy toka Ikulu na unaweza niambia wapi amekurupuka?? Awezi kwenda ata kumwona mama ake mzazi kwao.kama walinzi wake awajui uhakika wa usalama wake
 
Aliamua mwenyewe na wala usimuingilie na ukiendelea kuandika andika hapa tutamuagiza kijana aku arrest
 
Kustukiza nini kwa mfano?
Wewe unajua ratiba zake anazopanga na walinzi na wasaidizi wake? Na marangapi unajua kuwa ameenda kinyume na ratiba alizokubaliana na wasaidizi na walinzi wake??? Tuache story za Mage kimavi hapa lets be serious kwenye kufikiri na kuongea...umewai ona ratiba zake officialy toka Ikulu na unaweza niambia wapi amekurupuka?? Awezi kwenda ata kumwona mama ake mzazi kwao.kama walinzi wake awajui uhakika wa usalama wake
Be easy, msemaji wa kijiji! Usihamaki. Twende mdogomdogo boss! Have a coke and smile big boss! Hahahahaaa.
 
Back
Top Bottom