China sio mchangiaji na hatoi misaada piga nchi zote za africa zikiwepo na Asia wanategemea misaada toka US , China yeye yupo kibiashara sio kusaidia misaada ya hutu.nikupe mfano mmoja juzi Afghanistan ilipitiwa na tetemeko la ardhi na kuua maelfu ya watu cha ajabu china hajatia hata mguu na...
Ulongo hakuna kitu kama hicho meneja wa benki hana uwezo wa kufufua akaunti mfu ya mteja (dormant account) hizo pesa uwa zinachukuliwa na BOT sio benki husika pale mteja unapokua umekufaa na akaunti yako ikiwa mfu kwa miaka kadhaa.
Machinga wa Kariakoo kesho wameambiwa wasifungue biashara zao ili waudhurie uzinduzi wa kampeni wa CCM Kawe.
Kwa mujibu wa taarifa, kesho machinga wote wanaofanya biashara maeneo ya Kariakoo hawataruhusiwa kufungua biashara zao na badala yake wameelekezwa kwenda Kawe.
Baadhi ya machinga...
Wapalestina waliopo west bank siwaoni hata kuandamana wala kulalamika kuhusu uovu wanaofanyiwa ndugu zao wa gaza lakini wapalestina wa tandale au buza kila siku kucha wanalalamila
GSM sio mwekezaji bali ni muuzaji wa jezi za yanga.Kuna faida kubwa anapata kupitia hayo mauzo ya jezi kiasi kidogo anakichukua na kuwarudishia yanga akidai kama pesa ya ufadhili kumbe sio ni pesa halali kabisa za yanga kupitia mauzo ya jezi zao
Ukuangalia walikua nyuma la lile jukwaa tena kuna njemba kama 3 silikua zinaangalia mashabiki nami nilikua na mtazamo kama wako lakin nilivyoaangalia vizuri nikawaona wametanda na suti zao nyeusi
Nami nasubili jibu ili sababu rafiki yangu ana mtoto wake wa kike yupo sekondari nae anakula kucha hadi damu zinamtoka hadi tumeplani tuwe tunamvisha glove
Hii dege aliuzwi kwa ajili ya usalama wa marekani tu na wanaendelea kuiboresha tambua inauwezo wa kubeba hadi nyuklia ndio ndege hazina wanaogopa kuvujisha siri iliyopo ndani ya hiyo ndege
ndege ambazo zinauzwa kwa washirika ni kama F 16 au F 35.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.