Nina kimeo changu kinaniendesha mpaka nakosa usingizi, nikitaka kumtimua anatishia kujiua. Sasa sijui anaweza akafanya kweli au mikwara tu, siyo mara moja ni zaidi ya 20, kila akinizingua nikitaka kumtimua anatishia kunywa sumu na hatishii kujiua yeye tu mpaka mtoto.
Kibaya zaidi tulibebana juu...
Swali zuri sana, Lakini ukweli unabaki palepale kwamba alichokihisi mke wa Jamaa kilikuja kutokea kweli hata Kama Aisha alilazimishwa,hilo unalizungumziaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.