Kashupaa kwenye tangazo la mualiko na amani.
Tone yake tu inasema yeye mwenyewe hana amani na anachokiongelea hakina amani na huko aliko hakuna amani.
Wazungu wanakusoma mpaka body language.
Na si kwamba Gen Z walikuwa hawajazaliwa.
Nyerere alienda na fimbo UDSM akawatandika fimbo, akafunga chuo.
Wakarudi kwa masharti makali ya Naapa Naahidi Mbele ya Chama, Mapinduzi ntakulinda mpaka kufa....
Akateka wakina Hanga, akatukana kina Kambona, akafukuza chamani kina Marsha.
Masha...
Kama Mtume S.A.W. alikuwa na hulka na mapito ya kinyenyekevu, upole na misamaha, ni kwa nn Waislam wengi wanakuwa na militant disposition na wanazi wakali kwenye utetezi wa Waislam wenzao hata ambapo hakuna logic ya kumtetea mwenzao ambae kaharibu. Mafundisho au influence hiyo inapatikana...
Muungano unatutafuna.
Hoja ya Muungano kwa kigezo cha usalama haitatumika tena, imekufa!
Miaka ya 90 G55 walitaka kuurekebisha. Nyerere akawatukana na kuwabaghaza. Hakutaka wazo lake life au lionekane lilikuwa na makosa.
Wamevunja Muungano bila kujijua. Asante Sana Eeeh Mungu.
Watanganyika sasa wameona, wameelewa Muungano huu ukoje.
Kwenye Katiba mpya unadhani Mtanganyika gani atakubali kulichukulia suala la Muungano kirahisi rahisi ???
Wakati wa mjadala wa Katiba ukifika, Wazanzibar ambao kwa sasa ndio wako...
Nilikuwa sijaiona hiyo picha ya Samia kifuani kwake.
Hajaenda shule masikini ya Mungu.
Handlers wake ndani ya CCM hawakumshauri atoe picha ya Samia kifuani ili awe na credibility ???
Makamanda wa Palestina waliokuwa wanaishi mapangoni miaka yao yote huku wakichora mipango ya vita wanadangamya wenzao ?
Natafuta jibu sipati. Kwa nini Mange Kimambi na Maria Sarungi na kina Racho Dangwa wanawazidi serikali ushawishi ????
Kina Gersonl Msigwa hawajasomea public relations...
"Nawaagiza, tengenezeni amani ya Wananchi hawa, waende wakalime"
Utawala wao ni kututengenezea sisi mazingira ya kwenda kulima
Wanatuona sisi ni ma primitive, ma peasants wa vijijini.... maisha yetu kulima.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.