Siku moja iliopita jaji Warioba aliwambia watangaza nia kuwa acheni kujisemea kuwa nyie ni waadilifu, waachieni wananchi wawasemee kwani wao wanawajua vizuri kuliko mnavyojijua.
Kweli mzee umesema haki tupu.
Uwoga , umbumbu, u jinga wako ndo unakutesa ww unatamani watu wakatwe kwa faida ya nani..? Nadhani hata kadi huna mwanachama wa ccm hana ujinga huo ww ukawa
Ukiwa mwananchi wa kawaida usiye na ushabiki wa vyama au mgombea, ukitazama wagombea ndani ya CCM utaona kuna mgombea anaitwa LOWASSA anasemwa sana mazuri nusu na mabaya nusu.
Nusu ya kwanza ya uzuri inasemwa na wananchi wa kawaida wasio na vyeo serikalini au ndani ya chama.
Nusu ya pili ya...
Wingi wa wagombea ccm kwangu mm sio hoja , hoja kwangu mgombea yupi anakidhi vigezo vya kuwa rais na mkt.wa ccm taifa. Maana ipo tofauti kugombea nafasi ya juu ya rais KUPITIA ccm na kugombea urais kutokea ccm. Mgombea kupitia ccm hana vigezo vya kuwa mkt wa ccm taifa .Wako wagombea wanao...
Kuroroma na kutetemeka kla sku ktk mindao ya kjamii kumshambulia lawasa kuwa hafai kuwa rais twambieni anae faa nani? Mbona hamsemi nani zaidi ya lowasa. ? Lakin Mbona watoa hoja wote ni wale aidha ana madaraka ndani serikalini au ni mpambe wa mgombea? Je huo si uwoga au hofu ya kushindwa...
Makongoro Nyerere kuwa sema wenzake kwa kutumia mwavuli wa mwalimu Nyerere wakati nae ni mgombea ni sawa na kuaminisha watanzania kuwa yeye ndie anae faa kuwa rais. Kwa hili Makongoro nae kavunja kanuni za chama kwa kutaja majina ya wagombea wenzake na kutoa tuhuma dhidi yao.
Ukiacha hayo...
Kuroroma na kutetemeka kla sku ktk mindao ya kjamii kumshambulia lawasa kuwa hafai kuwa rais twambieni anae faa nani? Mbona hamsemi nani zaidi ya lowasa. ? Lakin Mbona watoa hoja wote ni wale aidha anamadaraka serikalini au ni mpambe wa mgombea? Je huo si uwoga au hofu ya kushindwa mgombea...
JE ridhiwani anamuunga mkono nani? JE yeye msafi? Watanzania wanamsemaje msafi au fisadi? .JE mjumbe wa nec lindi mjin mama salma kikwete anamuunga mkono nani? Je watanzania wanamsemaje kuhusu taasis ya WAMA JE WANASEMA MSAFI AU FISADI? JE HOME SHOPPING CENTER WANAMUUNGA MKONO NANI JE WAKO...
Ccm sio chadema ili mtu awe rais mpaka meja general mtei na bregedia wake mbowe waseme. Hii ni ccm maamuz yake yanafanywa na vikao. Chama cha lowasa ni ccm na atagombea ccm.kama ccm ni yako njiandae kumzuia ukishindwa hama ww au kubali maamuz ya vikao.
Hatua waliofikia sasa sio ya kutafuta picha nzuri ya ukutani ya rais wala fadhila za watawala waliopita tunataka rais ambaye ataendeleza mazuri yaliofikiwa na awamu hii ya jk na kutafuta majawabu sahihi ya kero sugu za elimu, wakulima na wafugaji mpakani mwa mbuga za wanyama,, rushwa, maji na nk...
Vyama vya upizani vya Tanzania mmejifunza nini? Uchaguzi wa UK wagombea wote wa vyama vilivyo shindwa ktk Uchaguzi wa wameachia nyazifa zao vipi wagombea wa Cuf na Chadema mpaka miaka mingapi? Au na nyie ni MAKRUNZINZA NA 1
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.