Recent content by buswagg

  1. buswagg

    Kama binadamu kuzaa kwa uchungu ni adhabu vipi kuhusu ng'ombe, mbuzi, nguruwe na wanyama wengine wanaozaa kwa uchungu?

    "Kiufupi dhambi ni chochote kibaya kwa maisha ya binadamu au ustawi wa jamii na siyo sababu Mungu amekataza. Mungu ametuumba ametuacha huru kwa kila jambo."
  2. buswagg

    PostGE2025 Yajue yatakayokuwa Matokeo ya Tume ya mchongo ya Uchunguzi wa Mauaji/Vurugu za 29 Oktoba, 2025

    Magwiji wa sheria like who? acha kuchekesha watu, just wait and see how mtashangazwa. [emoji785] we still counting the remaining minutes dear.
  3. buswagg

    PostGE2025 Yajue yatakayokuwa Matokeo ya Tume ya mchongo ya Uchunguzi wa Mauaji/Vurugu za 29 Oktoba, 2025

    Yani Samia na genge lake hawatoamini ushahidi tulionao ulivo hauwezi kuwaepusha, yani this timehawawezi kuchomoka, just wait tumalizie kuweka sawa some issues then kazi ianze. May God be with Tanzanians.
  4. buswagg

    Sielewi wairan wanaandamania nini?

    Mwambie huyo kiazi anaejifanya ameishi Iran, sjui kaishi Iran ya mabwepande au ya wapi?
  5. buswagg

    Muda wowote nitajiunga CHADEMA ya Lissu. Naona ni chama ambacho kitatukomboa Watanganyika

    umewapimaje kusema "hawana ubora wowote"? ulivo mpumbavu unaona fursa ya kugombea tu kwa kufata sheria zilezile mbaya za uchaguzi then utegemee changes? Wacha nikiambie kitu wewe kijana ulokosa akiri na lisara yako nsefu ya kijinga, yaani hata chadema wangekubali kusign zile sheria na kipumbavu...
  6. buswagg

    D25 ni mtego mwingine kwa Chinjachinja, asivyo na akili atauvaa kama ulivyo

    Mbona unajiaibisha shogaangu, hakuna alieandamana ili atake kufa, tuliandamana tena kwa amani, ila hao mnaowaita viongozi wenu ndio wakaua watu ili wasiachie nchi ambayo hawatakiwi. Uache mchezo wa kuingiliwa nyuma akiri zikurudie shogaangu, mwanaume unakuaje mjingamjinga hivi?
  7. buswagg

    D25 ni mtego mwingine kwa Chinjachinja, asivyo na akili atauvaa kama ulivyo

    sasa tukifa sisi wewe kiazi wa ccm ukabaki si inapaswa ufurahi? kutaka kufa nitake mimi then uoga upate wewe? basi una matatizo ya akili shogaangu, uchawa umekuondolea hata akili ya kuchanganua vitu. Ukiacha kuwapa wanaume wenzio utapata akili shogaangu, pole
  8. buswagg

    Kwanini wanaharakati wanajali usalama wao bila kuthamini usalama wetu?

    ICC ni false hope eeh? na kudeal nae personally labda nideal nae ndotoni eti ee? ok sawa.
  9. buswagg

    Kwanini wanaharakati wanajali usalama wao bila kuthamini usalama wetu?

    Ungekua umeandika hoja ningeipinga kwa hoja, thats why nimekujibu sawasawa na andiko lako. Jitafakari.
  10. buswagg

    Kwanini wanaharakati wanajali usalama wao bila kuthamini usalama wetu?

    Eti eeh? basi anza hata kwenda shule tena ukaongeze kaelimu angalau kidogo shogaangu, cas naona umebakiza ya kwendea kupoop tu na kutype JF[emoji57]
  11. buswagg

    Kwanini wanaharakati wanajali usalama wao bila kuthamini usalama wetu?

    Rudia kusoma ulichokifikiria na kukiandika ujione ulivo mpumbavu usie na akili hata 5%.
  12. buswagg

    Kwanini wanaharakati wanajali usalama wao bila kuthamini usalama wetu?

    sio kuhudhulia tu, na tumepoteza 2 men waliouliwa na vikosi vya police, tunamachungu sababu 1 mwili uliondolewa Muhimbili ukafichwa hadi leo. Trust me, evidence tulizonazo huyu Idd Amin Mama hachomoki, na tumeshafile nyingine nyingi ICC na vyombo vya kimataifa, huyu ajuza mchafu muuaji ahesabu...
  13. buswagg

    Kwanini wanaharakati wanajali usalama wao bila kuthamini usalama wetu?

    sio kuhudhulia tu, na tumepoteza 2 men waliouliwa na vikosi vya police, tunamachungu sababu 1 mwili uliondolewa Muhimbili ukafichwa hadi leo. Trust me, evidence tulizonazo huyu Idd Amin Mama hachomoki, na tumeshafile nyingine nyingi ICC na vyombo vya kimataifa, huyu ajuza mchafu muuaji ahesabu...
  14. buswagg

    Kwanini wanaharakati wanajali usalama wao bila kuthamini usalama wetu?

    Unataka kusemaje? kwamba watanzania wote tuogope serikali dhalimu tusifanye lolote tuwaache waendelee kuvunja katiba, kutuharibia nchi kwa kuongeza kodi na kutojari maendeleo ya jamii na kufanya wanavotaka? lazima tupate watu wachache watakaotuongoza njia tusivurugane. Hata jeshi likiwa linaenda...
Back
Top Bottom