Recent content by Bususwa

  1. Bususwa

    Lindi mvua kila siku, Mkoa uliopo inapigaje?

    Nimeishi Lindi kwa miaka 5, nimetoka huko mwaka 2024 Feb Nilikua naishi Wailes, karibu na Zima Moto, Kula sana watoto wa Lindi, bar za maana Linid ni Mitefuni,Pari na GRM, Hapo ndiyo kuna mademu wakutosha.... Mitwero na kule kwa Mama Salma ndiyo sehemu ya kidon Pale Stand ya Mkoa ni pachafu...
  2. Bususwa

    Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

    Marekani hawezi muacha mtoto wake bila ya support,Marekani alisema tu vile,lakini ki ukweli yeye ndiyo don wa kila kitu pale middle east
  3. Bususwa

    Dkt Sule: Baba yangu alifungwa kwa kuwa na colgate

    Dawa ya meno[emoji818] Dawa ya mswaki[emoji777]
  4. Bususwa

    Jakaya Kikwete: Hayati Rais Mwinyi ndiye aliyenifikisha hapa nilipo leo

    Hizi ndiyo hoja hua nazipenda sasa,unapinga kwa mifano hadi anayekupa majibu unapata lakujifunza kutoka kwake! Asante kwa hili kaka! Hapa nimeongeza jambo,kumbe Mzee Jakaya alisimamia jambo kubwa sana pale kwa Chinga boy! Sijajua kwa nini Mzee Jakaya hayupo kwenye orodha ya Makatibu wa CCM wa...
  5. Bususwa

    Jakaya Kikwete: Hayati Rais Mwinyi ndiye aliyenifikisha hapa nilipo leo

    Duh! Unaweza soma special school, lakini ukawa huna akili! Wenzake aliosoma nao University of Dar Es Salaam, Uchumi most of them ni Phd holder's, kina Prof Benno Ndulu ndiyo darasa moja na Jakaya
  6. Bususwa

    Jakaya Kikwete: Hayati Rais Mwinyi ndiye aliyenifikisha hapa nilipo leo

    Kaka uko sahihi kabisa! Mimi nilikua natetea kwamba Kikwete kafanya kazi Nachingwea kama Katibu wa CCM Wilaya,Masasi alihamishiwa na sidhani hata mwezi alimaliza akateuliwa kua Naibu Waziri! 1. Nimewahi fanya kazi Lindi na Mtwara,pale Nachingwea ofisi za CCM Wilaya jina la Kikwete lipo kwenye...
  7. Bususwa

    Jakaya Kikwete: Hayati Rais Mwinyi ndiye aliyenifikisha hapa nilipo leo

    Utakua ulizaliwa pre mature kabla ya siku zako! Kikwete hajawahi fanya kazi Masasi! Niambie ni mwaka gani kafanya kazi Masasi?? Kikwete kafanya kazi Lindi Nachingwea! Uncircumcised baboon kabisa wewe!
  8. Bususwa

    Jakaya Kikwete: Hayati Rais Mwinyi ndiye aliyenifikisha hapa nilipo leo

    Nisamehe bure kaka! Naomba nifute hii comment
  9. Bususwa

    Jakaya Kikwete: Hayati Rais Mwinyi ndiye aliyenifikisha hapa nilipo leo

    Niletee orodha ya makatibu wa CCM Wilaya ya Masasi,nitakuletea orodha ya Matibu wa CCM pia Wilaya ya Nachingwea, tuone kama Jina la Kikwete lipo Masasi au Nachingwea!
  10. Bususwa

    Jakaya Kikwete: Hayati Rais Mwinyi ndiye aliyenifikisha hapa nilipo leo

    https://www.jamiiforums.com/threads/mzee-mwinyi-sasa-unajisikiaje-kumtoa-kikwete-kutoka-lindi-na-kumpa-uwaziri-na-sasa-ni-rais.532520/ Mzee Mwinyi, sasa unajisikiaje kumtoa Kikwete kutoka Lindi na kumpa uwaziri na sasa ni Rais? Naomba nikujibu kwa hoja hii! Nikitoka job,nina muda mzuri sana...
  11. Bususwa

    Jakaya Kikwete: Hayati Rais Mwinyi ndiye aliyenifikisha hapa nilipo leo

    https://www.jamiiforums.com/threads/mzee-mwinyi-sasa-unajisikiaje-kumtoa-kikwete-kutoka-lindi-na-kumpa-uwaziri-na-sasa-ni-rais.532520/ Mzee Mwinyi, sasa unajisikiaje kumtoa Kikwete kutoka Lindi na kumpa uwaziri na sasa ni Rais?
  12. Bususwa

    Jakaya Kikwete: Hayati Rais Mwinyi ndiye aliyenifikisha hapa nilipo leo

    Nachingwea Lindi na wala sio Masasi Mtwara! Huko Nachingwea ndiyo alikokutana na Salma Rashid!
  13. Bususwa

    Jamaa yangu ananitesa kisa alinitafutia kazi, ni haki?

    Mkienda kula beer bar,weka sumu kwenye beer yake akienda chooni,sumu inayouwa polepole lakini! Baada ya miezi 5,utaachana na huu ujinga!
  14. Bususwa

    Ujumbe kwa Jeshi la Polisi Tanzania kitengo cha Usalama Barabarani

    Naandika uzi huu kwa huzuni kubwa sana. Jana mnamo saa nne usiku,nilipigiwa simu na rafiki yangu, kwanza nilishituka, hii simu ya usiku hivi kwa yule jamaa, lazima kuna shida maana muda wa saa nne, yeye na familia yake hua wameshalala sio mtu wakukesha kuangalia mpira au kunywa pombe kama kina...
Back
Top Bottom