Recent content by businesslink

  1. B

    JamiiForums Tanzania 4 Fortuner VS Discovery 4 tuagize kutoka Africa ya Kusini au Singapore?

    Isizidi miaka 3 Budget Maintainance Kodi Utaenda na ipi kati ya hizo? na kwa nini
  2. B

    JamiiForums Tanzania Hongera na pole Balozi Siwa. Je, utaiweza TISS au TISS itakuweza?

    Nchi ina watu zaidi ya milioni 60 Ina jeshi na power na influence duniani Lakini account moja ya kwenye Twitter imeshindikana. Unless ni ya Samaki na maji
  3. B

    JamiiForums Tanzania Kuagiza gari kutoka UK vs South Africa, Japa & Singapore

    safety na reliability compared na UK?
  4. B

    JamiiForums Tanzania Kuagiza gari kutoka UK vs South Africa, Japa & Singapore

    DISCO 4 vs FORTUNER UK vs JAPAN? BEI/ USALAMA, MAINTENANCE
  5. B

    JamiiForums Tanzania Kuagiza gari kutoka UK vs South Africa, Japa & Singapore

    Unapigwaje wakati unanunua from an established dealership na unaweza ku track every info ambazo niko available online
  6. B

    JamiiForums Tanzania Kuagiza gari kutoka UK vs South Africa, Japa & Singapore

    you mean waafrika/makaburu magari yao yana usalama zaidi kuliko ya wazungu huko Ulaya One learns something new humu JF everyday in other words safety na kila kitu katika hayo magari waafrika wanaongoza
  7. B

    JamiiForums Tanzania Kuagiza gari kutoka UK vs South Africa, Japa & Singapore

    sawa nimekupata lakini nilitaka more detailed analysis
  8. B

    JamiiForums Tanzania Kuagiza gari kutoka UK vs South Africa, Japa & Singapore

    UK si wanafanya MOT na inspection au?
  9. B

    JamiiForums Tanzania Kuagiza gari kutoka UK vs South Africa, Japa & Singapore

    Habari za leo waungwana. Mimi nataka kuagiza used gari kutuka nje na nime narrow down kwenye hizo nchi kwani ndio nimeambiwa magari mengi yanatoka huko Mazingatio makubwa kwangu ni Uimara, usalama na matengenezo ( japo nimeambiwa gari ambayo haijatumika sana hugharamiki sana matengezo au...
  10. B

    JamiiForums Tanzania Msiba wa Rais Mkapa: Kwa nini Ubalozi wa UAE Tanzania haujashusha bendera nusu mlingoti?

    Kidiplomasia nilidhani ni nchi zote tumbe kuna baadhi ya nchi zinakuwa exempted kwenye haya mambo.
  11. B

    JamiiForums Tanzania Msiba wa Rais Mkapa: Kwa nini Ubalozi wa UAE Tanzania haujashusha bendera nusu mlingoti?

    Serikali na Wizara ya Mambo ya Nchi za nje ulitoa mwongozo juu ya suala la kushusha nusu mlingoti bendera zote kwa Balozi zote za nie zilizopo hapa Tanzania kutokana na Msiba huy wa kitaifa tulio nao. Ubalozi wa Falme za Kiarabu hapa Tanzania bendera zake bado zio juu kabisa toka msiba wetu wa...
  12. B

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa Rais Magufuli: Serikali haikusanyi kodi Nyumba za Kariakoo, Masaki, Mikocheni, Obay, Mbezi beach & Msasani Peninsular

    kodi inayokusanywa kwenye properties na ardhi Kariakoo/ Mjini/ Masaki/Obay/ Msasani Peninsular ni kidogo Sana Tax Rate kwenye maeneo hayo inabidi iangaliwe upya
  13. B

    JamiiForums Tanzania Siri ya Salim Ahmed Salim na Uongozi wa Serikali ya China

    At last naona wachina wamempa Salim Nishai japo wamechelewa sana This should have been done much earlier
  14. B

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa Rais Magufuli: Serikali haikusanyi kodi Nyumba za Kariakoo, Masaki, Mikocheni, Obay, Mbezi beach & Msasani Peninsular

    Fine kwenye magorofa yasiyo na lift Kariakoo imekaaje?
Back
Top Bottom