businesslink
Senior Member
- Mar 20, 2019
- 129
- 113
Hii nyumba niko Obay, je valuation ya nyumba na kiwanja au eneo ni sawa?
Kwa nini huyu alime kodi sawa na Mtu anayeishi Tandale kwa Mtogole?
Rais Magufuli anaposema nchi hifi ni tajiri sana hakusema uwongo.
mshawahi kujiuliza what is the most expensive real estate in Tanzania?
Jibu ni karikakooo
Lakini serikali haikusanyi kodi ipsavyo kwenye viwanja na mahekalu ya Mbezi beach, Mikocheni, Masaki, Msasani Peninsular, Oysterbay na kariakoo.
Tataizo hili ni nchi Nzima.
Mfano, kodi ya mahekalu na value ya ardhi Masaki Obay, Msasani Peninsular pekoe zinatosha kujenga shule za Primary na vituo vya Afya wilaya ya kinondoni Nzima na zingine zikabaki. SIelewi why Makonda bombe pesa serikali kuuu kujenga Shule wakati pesa zipo nyingi tuuu (kama tukifanya collection ya uhakika)
Masaki nyumba moja value yake ni Billioni 2 karibu
Bado kodi ya ardhi
Serikalil iliangalie hili
Imagine fine ya magorofa yasiyo na lifti Kariakoo yaka mangapi na tutaweza kupata pesa kiasi gani?
Hii nchi pesa zipo sana
Mheshimiwa Rais naomba hili liangaliwe kwa makini sana na linawezekana
Kwa nini huyu alime kodi sawa na Mtu anayeishi Tandale kwa Mtogole?
Rais Magufuli anaposema nchi hifi ni tajiri sana hakusema uwongo.
mshawahi kujiuliza what is the most expensive real estate in Tanzania?
Jibu ni karikakooo
Lakini serikali haikusanyi kodi ipsavyo kwenye viwanja na mahekalu ya Mbezi beach, Mikocheni, Masaki, Msasani Peninsular, Oysterbay na kariakoo.
Tataizo hili ni nchi Nzima.
Mfano, kodi ya mahekalu na value ya ardhi Masaki Obay, Msasani Peninsular pekoe zinatosha kujenga shule za Primary na vituo vya Afya wilaya ya kinondoni Nzima na zingine zikabaki. SIelewi why Makonda bombe pesa serikali kuuu kujenga Shule wakati pesa zipo nyingi tuuu (kama tukifanya collection ya uhakika)
Masaki nyumba moja value yake ni Billioni 2 karibu
Bado kodi ya ardhi
Serikalil iliangalie hili
Imagine fine ya magorofa yasiyo na lifti Kariakoo yaka mangapi na tutaweza kupata pesa kiasi gani?
Hii nchi pesa zipo sana
Mheshimiwa Rais naomba hili liangaliwe kwa makini sana na linawezekana