.
Hao watakuwa wamezeeka sasa, tupo tuliopita miaka ya tisini. Kipindi kile Mkwawa ilikuwa complex kweli. Chakula unakipata kwa kuonyesha food card kwa kiranja wa zamu, hatari sana. Pia nakumbuka makanyagio kwenye ulanzi wa kutosha au Holland beer kama tulivyokuwa tunaiita
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.