Kwani kosa hasa la Rostam ni nini? Kaiba? Kama kaiba, basi kaiba nini? Kaua? Kama kaua, kaua nani? Mpaka sasa mimi sijaona kosa la mtu huyu, mchukueni wenyewe mkamhukumu kwa sheria yenu. Leteni mashitaka halali kama mnataka hukumu. Kila siku RA, RA, RA, he, hakuna mambo ya kitaifa ya kufanya...