Recent content by Burt77

  1. Burt77

    GE2020 Swali fikirishi: Je, kuna mtu timamu kiakili atamchagua John Magufuli licha ya ugumu wa maisha, uonevu kwa wafanyabiashara, wakulima na wafanyakazi?

    Siwezi kumchagua sababu: anatufanya tuwe tegemezi, hakuna ajira, hakuna mikopo kwa watu wa hali ya chini,gharama za maisha n ngumu kiujumla
  2. Burt77

    Flat Screen: Muongozo kabla hujaenda kununua TV

    Kuhusu TCL Smart TV nchi 32. Nataka kununua ila sijui inamapungufu gan? Au naomba comments zenu plz kuhusu hili zitanisaidia.
  3. Burt77

    NACTE mnatuumiza jamani

    Hiv ukienda chuo ulichochaguliwa mwanzo siwatakukataa kama ulifanya transfer au
  4. Burt77

    NACTE mnatuumiza jamani

    Hata kama umeenda vyuo husika vie vile unaweza ukakosa hiyo transfer jins wanavyodai wao .Wanasema wanamkubalia mtu kufnya transfr kutokan na slots zilizobaki na kama mpo weng na slots n chache mtashindanishwa kupata hizo nafas.
  5. Burt77

    NACTE mnatuumiza jamani

    Maeneo ya ITV karibu na chuo cha ITA
  6. Burt77

    NACTE mnatuumiza jamani

    Ndo hivyo jana nilienda NACTE hawatoi majibu ya kueleweka
  7. Burt77

    NACTE mnatuumiza jamani

    Aisee me sijui tutafnyaje na registration mwsho n trh 31.
  8. Burt77

    HESLB wameanza kupokea appeals

    Mwisho wa kuappeal n lin jaman naomben msaada kuhusu hili
  9. Burt77

    Inakuwaje kuhusu transfer za TCU

    Ni kwl brother angu alikua mwaka mzima ndo kutumiwa mkopo kwny chuo alichohamia.
  10. Burt77

    Wale wa diploma tushauriane kuhusu HELSB

    Hapa tunasaidian kimawazo sio ishu za kuanza kuweka kejel au kuongea vitu kwa kusanifu watu. kama Huna ishu ya kuandika huku kaa kimya wengn wanapata mambo muhim. mambo ya form six na diploma yanatoka wap wakat umeona kuwa wanataka watu wa diploma kujadili ishu za msingi. mm nashindwa kuelewa...
  11. Burt77

    Wale wa diploma tushauriane kuhusu HELSB

    Huu. sasa swali linalonitatiza inamaan diploma wote hawajapata mkopo au? kwa chuo nilichosoma hakuna hata mmoja aliyepata mkopo labda kama kuna diploma holder amepata atujuze hapa
  12. Burt77

    Wale wa diploma tushauriane kuhusu HELSB

    Mm nilienda loan board kuulizia kuhus hii ishu ya mkopo . Majibu niliyopewa n kwamba hawawez kujibu chochot mpk jumatano coz bado hawajamaliza kupanga mkopo so wanadai tuwe na subira. kinachonipa shida ni juu ya mahusiano kat ya NACTE na TCU. Kwann TCU deadline ya transfer ilikua 10 na...
  13. Burt77

    Inakuwaje kuhusu transfer za TCU

    Wa diploma transfer deadline mpk tarehe 20 na kutransfer n bure.
  14. Burt77

    Kwa waliokosa mkopo

    Kuna watu wa me chaguliwa koz za non priority na wamepata mkopo na wengn wamechaguliwa koz za priority hawana. mm sijaelewa bado labda mkopo ni bahati tu.
Back
Top Bottom