Huyo mbunge yeye anauhakika na posho za kila mwezi na pindi miaka 5 ya ubunge wake kufika kikomo anachukua zaidi ya milion 200 kwa huo mda mfupi ambazo hata mfanyakazi alietumikia taifa miaka zaidi ya 40 anakutana na kikotoo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.