mtahangaika sana na hizo ngonjera zenu! fisadi fisadi fisadi kwanza hilo neno mlikuwa mnalipinga sana lkn leo liko midomon mwenu kunani yuko ndan sio fisadi katoka fisadi! TUMECHOKA TUNATAKA MABADILIKO! MKAE BENCHI KWANZA TUWAANGALIE WENGINE
Naaaaam! nakuunga mkono nikitilia mkazo maskin anahubir amani zaidi kusudi wenye kuwa nacho wakitumie kwa utulivu lkn kiongozi tajiri anatupa maarifa yaliyomfikisha hapo alipo na ndio dira ya maendeleo huwezi kuvushwa na amayeongozwa na mitazamo ya umaskin
Leo ndio siku nimekuja kuamini Dr hakuwa na dhamira ya dhati ya mabadiliko ktk nchi yetuu! zaidi nimeona jinsi gani alikuwa analengo la yeye apitishwe na ukawa apeperushe bendera ya ukawa ktk kinyang'anyiro cha kwenda ikulu lkn kwa hali ya kawaida asingeweza kupana na magufuli!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.