Recent content by Bundubuju

  1. B

    A Police State

    And this will cost us five years ahead
  2. B

    Yaliyojiri katika Mkutano wa CHADEMA na Waandishi wa Habari - Agosti 25, 2016

    Loo umena ukweli mtupu sasa tusubiri tuone watajibuje hawa wasiopenda kufuata sheria na katiba ya nchi yetu
  3. B

    Kitila Mkumbo: Kati ya marais wote walioongoza Tanzania, Magufuli anakabiliwa na hali ngumu zaidi

    Kinachomharibia sifa Magufuri ni kule kutofuata katjba ya nchi Yeye anaamini ubabe ndiyo njia bora kuongoza nchi Anatawala kwa kutumia matamko na amri bila kufuata sharia Anaiongoza utazani ni baba namji wake Nchi haiongozwi hivyo
  4. B

    Uko wapi Udikteta wa Rais Magufuli?

    Udicteta wa mtukufu Rais Magufuli in kule kukiuka katiba ya nchi Kwa mini amepiga marufuku vyama vya upinzani kufanya mikutano huku chama chake kikiendelea na mikutano ya kisiasa? Je katiba inasemaje?
Back
Top Bottom