Kinachomharibia sifa Magufuri ni kule kutofuata katjba ya nchi Yeye anaamini ubabe ndiyo njia bora kuongoza nchi Anatawala kwa kutumia matamko na amri bila kufuata sharia Anaiongoza utazani ni baba namji wake Nchi haiongozwi hivyo
Udicteta wa mtukufu Rais Magufuli in kule kukiuka katiba ya nchi Kwa mini amepiga marufuku vyama vya upinzani kufanya mikutano huku chama chake kikiendelea na mikutano ya kisiasa? Je katiba inasemaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.