Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 24. Naomba kazi ya udereva kwa mtu binafsi au familia.
Nina uwezo wa kumuendesha mtu binafsi au familia kwa muda wowote ambao muajiri atahitaji.
Leseni ya udereva ni daraja D (class D). Elimu kidato cha sita (form six). Nina nidhamu ya hali ya juu kabisa...
Nahitaji pikipiki used kwa ajili ya matumizi binafsi.
SPECIFICATION;
-iwe katika muonekano mzuri sana.
-iwe na document zake zote.
-bajeti ni 600000/= tsh.
-morogoro au arusha.
na sehemu nyingine yoyote kama Luna uwezekano was kuifikisha morogoro bila gharama kubwa.
whatsapp no 0675370636.
sms...
incubator in machine ya kutotoleshea vifaranga salama.
ni rahisi kutumia na imara.
https://amzn.to/2QreLdf
EDITED
SORRY GUYS, HIZI MASHINE HAZISAFIRISHWI KUJA TANZANIA.
SIKUFATILIA VIZURI KIPANDE HICHO.
SORRY FOR TAKING YOUR TIME.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.