Kuna kiongoz mmoja wa ccm aliwai kusema ukitaka kufanya mambo yako ukiwa salama ingia ccm, sasa kibonde huwa anajiamin kwa kias iko sababu ya ngao aliyo nayo
Lissu ni moja ya lasilimari watu muhimu sana pale bungeni na ninais ukawa wakichukua nchi jamaa atakua key ya kuwakilisha vizuri nchi ktk mikataba na mambo muhimu ya nch
wewe jamaa naomba ututake radhi watu wa bunda kwan uyo wassra wako hajawai kufanya ayo yote unayo yasema kama unamgia debempgie kvngne kwanza anatuaibsha watu wa bunda na mengne meng mabaya namfchia tu
kwa nn majmbo ya kawe (mdee) na ubongo (mnyqa) yaxemwe xn kwa uby? je kuna chuk bnafs au kuna ukwel ndana yawaxemaj? au kwa vle yanaongozwa na cdm? maana waxemaj weng n wale mashabk wa ccm. na n vp hal ya majmbo mengne ya dar yanayo ongozwa na ccm? je tatzo n cdm au serkar? au wabunge wa cdm c...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.