Recent content by bumyengeja

  1. B

    JamiiForums Tanzania Waraka wa UAMSHO unaochochea machafuko Zanzibar

    msitutishe nyie hamjui Mungu wa kweli hii vita siyo yetu ni Mungu msipo tubu nawasikitikia please tubuni Mungu awasamehe
  2. B

    JamiiForums Tanzania Mwai Kibaki awadharau watanzania!

    we naona huna akili mpaka unamuongea marehemu naona umeishiwa sera sasa we una wazo gani basi hata leo ukifa familia yako itakumbuka ndio nyie msio na adabu huna ladhi wewe ongea mengine.ila Mungu akusamehe bure
  3. B

    JamiiForums Tanzania Zanzibar: Padri auawa kwa kupigwa Risasi!

    jamani hii nchi sijui viongozi mna mpango gani na wakristu maana sasa naona mnataka Mungu awashughulikie maana mnapigana na Mungu na siyo wakristo kumbe mliposema mnautokomeza ukatoliki Zanzibar mlikuwa hamtanii tumegundua sasa ndiyo maana hata kuchinja mnasema ninyi ndio wenye haki...
  4. B

    JamiiForums Tanzania Buseresere: Mapigano makali yaibuka kati ya waislamu na wakristu!

    jamani mbona mnaipeleka nchi pabaya hebu acheni watu wawe huru kama katiba isemavyo
Back
Top Bottom