Umlizoea siasa za hadaa za Magamba, sasa Kikweni yetu mtafundishwa siasa za ukombozi. Naelewa kuwa kuwepo hapo Kikweni unavuna za.Magamba kila wanaposafiri kwenda na kurudi Usangi. Nakushauri kuwa "Mreghenja ni ula wa kukuing'a Kiavia cha kukela, si ula wa kukuisha na matundu kadori kila msi...
Huyo Rage siku hizi ameifanya Simba ni tawi la CCM. au mmesahau alivyoipeleka Simba Iramba kujaribu kuzuia nguvu za CHADEMA ktk mikutano ya Mabaraza ya Katiba.
Usilolijua ni sawa na usiku wa giza. Wakati CCM wakijivunia kumpata Maja, mwanachama wa kawaida ambaye amewadanganya kuwa ni kiongozi wa Chadema, Chadema imevuna Wanachama 689, kati yao 246 kutoka CCM katika Operesheni "Zinduka mabadiliko ni sasa" . Iliyoendeshwa katika jimbo la Kibaha mjini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.